Boris Johnson calls for Ukraine to be sent more long-range rocket systems(MLRS)

Boris Johnson calls for Ukraine to be sent more long-range rocket systems(MLRS)

MT255

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2012
Posts
3,720
Reaction score
4,994
Narudia tena kuuliza...wazungu wanaajenda yao kwenye mzozo wa Ukraine au ni ubinaadamu tu wa kupinga Ukraine kuonewa?

Hatimaye waziri mkuu wa uingerezani
Bwana Boris naye anamtazamo kama wa USA wa Ukraine kupewa mizinga itakayo muwezesha Ukraine kushambulia mamia ya maili....

Swali fikirishi wazungu Kuna wanalolipanga dhidi ya Russia?
Nini kitatokea iwapo Ukraine atapata uwezo wa kushambulia ndani kabisa ya Russia?

Majibu yote haya yatapatikana
Ni swala la muda
Na muda ndio shahidi muhimu

Link
 
Siamini km Ukraine hana hayo makombora ya kufika Russia hila anajua yakishafika huko Russian kipigo atakachopigwa kitakuwa kikubwa zaidi maana haya mashambulizi ya sasa hv ni ya kistaarabu sn sio km Yale wanayofanyaga USA na NATO wakipiga kombora watu 100 wanaua hila Russia yy anapiga makambi tu
 
Siamini km Ukraine hana hayo makombora ya kufika Russia hila anajua yakishafika huko Russian kipigo atakachopigwa kitakuwa kikubwa zaidi maana haya mashambulizi ya sasa hv ni ya kistaarabu sn sio km Yale wanayofanyaga USA na NATO wakipiga kombora watu 100 wanaua hila Russia yy anapiga makambi tu
Kama anayo kweli angeyatumia kushambulia Crimea, Donbas na Luhansk. Naamini akipatiwa hizo silaha atazitumia bila woga wowote. Ila Ukraine imetoa funzo kubwa sana, nchi ikiwa na jirani asiyeeleweka kama Urusi, ni vyema kuandaa silaha za kutosha. Ukraine ni kama hakuwahi kufikiria angeweza kuvamiwa kwa namna hii na Urusi.
 
Siamini km Ukraine hana hayo makombora ya kufika Russia hila anajua yakishafika huko Russian kipigo atakachopigwa kitakuwa kikubwa zaidi maana haya mashambulizi ya sasa hv ni ya kistaarabu sn sio km Yale wanayofanyaga USA na NATO wakipiga kombora watu 100 wanaua hila Russia yy anapiga makambi tu
Anazo za kutosha! Ila ukweli anajua kitakachotokea!
 
Kama anayo kweli angeyatumia kushambulia Crimea, Donbas na Luhansk. Naamini akipatiwa hizo silaha atazitumia bila woga wowote. Ila Ukraine imetoa funzo kubwa sana, nchi ikiwa na jirani asiyeeleweka kama Urusi, ni vyema kuandaa silaha za kutosha. Ukraine ni kama hakuwahi kufikiria angeweza kuvamiwa kwa namna hii na Urusi.
Hata zile neptunes alizodondoshea Moskva zilikuwa ni zinaenda km chache tu. Ukraine hana zile mashine za masafa marefu.
 
Kama anayo kweli angeyatumia kushambulia Crimea, Donbas na Luhansk. Naamini akipatiwa hizo silaha atazitumia bila woga wowote. Ila Ukraine imetoa funzo kubwa sana, nchi ikiwa na jirani asiyeeleweka kama Urusi, ni vyema kuandaa silaha za kutosha. Ukraine ni kama hakuwahi kufikiria angeweza kuvamiwa kwa namna hii na Urusi.
Unadhani silaha ni za kuokota kuwa ukizitaka unazipata tu?

Hakuna taifa lisilo penda kuwa na silaha nzuri na za kutosha kwa ajili ya kujilinda ila tatizo linakuja kwenye uwezo wa nchi husika.
 
Ukraine alikuwa na silaha za nyuklia lakini baada ya Soviet kuanguka akazisalimisha kwa Russia! Atakuwa anazikumbuka sana.
 
Siamini km Ukraine hana hayo makombora ya kufika Russia hila anajua yakishafika huko Russian kipigo atakachopigwa kitakuwa kikubwa zaidi maana haya mashambulizi ya sasa hv ni ya kistaarabu sn sio km Yale wanayofanyaga USA na NATO wakipiga kombora watu 100 wanaua hila Russia yy anapiga makambi tu
Utakuwa na Akili Pungufu sio bure. Miji yote ambayo imetekwa na Urusi hasa Mariupol imeharibiwa kabisa kwa Makombora ya Urusi. Zaidi ya 60% ya Majengo ya mji huo yameharibiwa kiasi Cha kutoweza kufanyiwa ukarabati. Je,hayo ndio mashambulizi ya Busara?

Kinachoiponza Ukraine Ni utashi wa Marekani kujikanyagakanyaga TU badala ya kusomba Mamia ya Makombola ya masafa Marefu nchini Ukraine. Wakati wa Vita ya Vietnam,Sio Silaha TU,Urusi ilipeleka mpaka Wanajeshi kulisiadia Jeshi la Vietnam Kaskazini. Sasa kwanini Marekani asipeleke Silaha nchini Ukraine? Bado naona Marekani Ni Mstaarabu na kweli hataki mgogoro usambae kwenye Mataifa ya Ulaya.
 
Hata zile neptunes alizodondoshea Moskva zilikuwa ni zinaenda km chache tu. Ukraine hana zile mashine za masafa marefu.
... wanadai ulikuwa mmeli hatari zaidi wa kivita duniani; fahari ya Putin na genge lake.
 
Siamini km Ukraine hana hayo makombora ya kufika Russia hila anajua yakishafika huko Russian kipigo atakachopigwa kitakuwa kikubwa zaidi maana haya mashambulizi ya sasa hv ni ya kistaarabu sn sio km Yale wanayofanyaga USA na NATO wakipiga kombora watu 100 wanaua hila Russia yy anapiga makambi tu
Ukraine ishakua uwanja wa kujaribia silaha kama ilivyo Syria libya na Iraq.....hayo mengine ni porojo tuu....usa hataki kabisa kujiingiza 100%kwenye hii vita maana anajua majibu yake yatakua hayavumiliki
 
Siamini km Ukraine hana hayo makombora ya kufika Russia hila anajua yakishafika huko Russian kipigo atakachopigwa kitakuwa kikubwa zaidi maana haya mashambulizi ya sasa hv ni ya kistaarabu sn sio km Yale wanayofanyaga USA na NATO wakipiga kombora watu 100 wanaua hila Russia yy anapiga makambi tu
Ukraine ishakua uwanja wa kujaribia silaha kama ilivyo Syria libya na Iraq.....hayo mengine ni porojo tuu....usa hataki kabisa kujiingiza 100%kwenye hii vita maana anajua majibu yake yatakua hayavumiliki
 
Back
Top Bottom