Boresha Ndoa/Mahusiano

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,606
Pamoja ya kwamba kunabaadhi ya mambo unamfanyia mume wako kwa nafasi yako kama mke, pamoja na kwamba unampa unyumba japo kwa manati lakini kunavijitabia vidogovidogo unaweza usivione ni shida lakini vinaonyesha jinsi ambavyo haujafunzwa kwenu na kwenye kitchen party yako uliambulia rice cooker tu na sio mafundisho. Mke uko nyumbani au umewahi kurudi kabla ya mumeo, mumeo anafika home uko bize na simu, labda anakukuta chumbani umeng'ang'ana na simu wala jicho humwangalii zaidi ya kutoa sauti yaubize "pole" huku macho yako kwenye simu, utadhani unaongea na fundi wako wa nguo kumbe mumeo. Halafu jamaa akipoteza ladha ya kuwahi kurudi nyumbani unaanza kupiga tarumbeta kumbe wewe ndio kimeo. Ndoa sio kujua kupika na kukatika pekeyake. Hata jongoo anajua huomchezo. Show some repect. Shauri yako.Ni mtazamo wa fikra pevu tupo kujenga sio kubomoa
 
Tunawajali saaana hawa waume zetu, na wao wanalijua hilo. Tabia haina dawa kama niwakuchelewa sababu ya mambo yake atachelewa tuu, hamna mwanamke anaependa nyumba isiyo na amani kama wapo hao ni wehu. Kwangu mie nalaumu sana hiki kinachoitwa mpira, daaaah hili ni changamoto kwa kweli
 
Tunawajali saaana hawa waume zetu, na wao wanalijua hilo. Tabia haina dawa kama niwakuchelewa sababu ya mambo yake atachelewa tuu, hamna mwanamke anaependa nyumba isiyo na amani kama wapo hao ni wehu. Kwangu mie nalaumu sana hiki kinachoitwa mpira, daaaah hili ni changamoto kwa kweli
Ha haa mpira mpira
 
Tunawajali saaana hawa waume zetu, na wao wanalijua hilo. Tabia haina dawa kama niwakuchelewa sababu ya mambo yake atachelewa tuu, hamna mwanamke anaependa nyumba isiyo na amani kama wapo hao ni wehu. Kwangu mie nalaumu sana hiki kinachoitwa mpira, daaaah hili ni changamoto kwa kweli
suala la mpira
Kwenye hili wanaume huwa tuna ahirisha shughuli nyingine zote. Na huwa haiwi kwa nia mbaya, japo pia inaeza kuwa kijisababu, mfano leo natoka kwenye mechi saa 6 kwa kuwa ni fainali ya AFCON
 
Tunawajali saaana hawa waume zetu, na wao wanalijua hilo. Tabia haina dawa kama niwakuchelewa sababu ya mambo yake atachelewa tuu, hamna mwanamke anaependa nyumba isiyo na amani kama wapo hao ni wehu. Kwangu mie nalaumu sana hiki kinachoitwa mpira, daaaah hili ni changamoto kwa kweli
Ila ukumbuke kuna mpira watu
 
suala la mpira
Kwenye hili wanaume huwa tuna ahirisha shughuli nyingine zote. Na huwa haiwi kwa nia mbaya, japo pia inaeza kuwa kijisababu, mfano leo natoka kwenye mechi saa 6 kwa kuwa ni fainali ya AFCON
Ndo hapo sasa, hata kama nina tabasamu mbona linaishia saa tatu!! Jamani mpira ndo changamotoooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom