Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
wanaoachana kwa mutual consent nahc wapo sayari ya jupiter huko...mara nyingi huwa ni bifu tu
ni kweli mkuu kwenye Jupiter viumbe wote wanakuwa wamekaza nyuso kama vile wanalazimishwa kumeza mavi
wanaoachana kwa mutual consent nahc wapo sayari ya jupiter huko...mara nyingi huwa ni bifu tu
Wewe hujawahi kuona?.,mimi mwenyewe nina xperience hiyo kuna wakatu unafika circumstances zinawaforce kufikia makubaliano ya kusitisha mahusiano.
Wewe hujawahi kuona?.,mimi mwenyewe nina xperience hiyo kuna wakatu unafika circumstances zinawaforce kufikia makubaliano ya kusitisha mahusiano.
Kwa mtazamo wangu kama iwapo wapendanao wanapoamua ku-separate (kama ulivyosema "by mutual consent") ile hali ya urafiki wao wa mwanzo sidhani kama ni lazima ipotee. Na kama itatokea urafiki huo ukapotea basi ujue hiyo separation baina yao haikutokea "by mutual consent", ni lazima kuna kitu kilichosababisha mtafaruku kati yao. Otherwise kwa wanaume wenzangu ninachoweza kuchangia hapa ni hiki;- Kama chanzo cha kuvunjika uhusiano ni mwanamke, hutakiwi kuonyesha udhaifu wa kuweka uadui nae. Kufanya hivyo ni dalili ya kutojiamini, na haitasaidia katika kum-discipline huyo ex-honey wako. Be calm, mchangamkie kama kawaida na jitambue wewe kama ni mtu wa thamani kwa sababu hata kama sio yeye yapo mwingine atakayechua nafasi yake. Kikubwa unachotakiwa ni kupigania kuboresha uchumi wako na kufanya mazoezi ili kustimulate "feeling good" hormone. Inatosha kabisa.
Mimi ninafikiri inategemea na namna mlivyoahana. Kuachana bila kukosana (hiyo mutual consent unaypoiita) mara nyingi hupelekea kurudiana/kukumbushiana au kuliwazana = cheating kama tayari mmoja wenu au kila mtu ameshamove na mtu mwingine. Ila ninachoamini ni kuwa mkiachana kwa ugomvi, mkakaa muda wa kutosha say after 5/7 years ni rahic kuwa marafiki wa kushare mambo yanayowasibu (kama mmeamua kusameheana). Kwa sababu kwa muda huu kila mtu atakuwa committed kwa mwenzi wake na pia lile donda bado litakuwa linamualert. Nionavyo mie.
But si lazima kuwa rafiki na mtu uliyeachana naye kwani hamdaiani.
Nimejaribu kukuna kichwa lakini nimeshindwa kuelewa! Kuachana bila kukosana, does it mean kwamba kuna mutual consent?? Really? Nahitaji msaada wako kabla sijaenda chaka!
Sweetie kipipi, kuachana bila kukosana ni mfano ndugu, wazazi wa pande moja hawataki muwe wote; swala la dini; kabila (wengine) na pengime malengo na mielekeo tofauti ya maisha inawezapelekea mkakubaliana kuwa mh mwenzangu hii ni chaka tumeingia na tukiendelea hivi kuna mmoja ambaye atasacrifice more and its not fair.
Sijui kama nimekosea
Mf. Inapotokea una mtu ambaye ana watoto ambao kwa namna moja au nyingine unaona kabisa kuwa s/he is so much into them yaani unajiona kabisa katika risky situation kuwa itapotokea umekwaruzana na watoto basi ni wazi umekwaruzana na mwenza. Instead of thinking ah I will get allong with them unaona mh hapa sina changu
si you seat and talk?? Akikiri kuwa wanae ni wanae, they will always be kings/malaika na unajiona kabisa kuwa you can not cope.............si mnawezaachana kwa makubaliano??