Bora Nimpotezee kimya kimya

Bora Nimpotezee kimya kimya

Yaani Kaka wanaume mpo wa aina nyingi sana aisee.

Sa sijui mleta uzi hajui kama huwa matatizo ni sehemu ya maisha? Labda kama huyo mdada anadanganywa hapo tutamuelewa.

Ila nje ya hapo tutamuita mwanaume anayeogopa majukumu ndio sababu anataka kukimbia.
Unachokisema ni kweli dada!

Sioni sababu ya kukimbia majukumu,ni kuyaface tu!matatizo ni sehemu ya maisha!

Hata kama huna pesa, unazungumza naye unamuelewesha,kuonesha hata ile concern ni msaada pia siyo lazima utoe chchte!
 
Unachokisema ni kweli dada!

Sioni sababu ya kukimbia majukumu,ni kuyaface tu!matatizo ni sehemu ya maisha!

Hata kama huna pesa, unazungumza naye unamuelewesha,kuonesha hata ile concern ni msaada pia siyo lazima utoe chchte!
Nimekuelewaa mkuu... I will try nione itakuwajee
 
Aisee we mtoa mada shida yako ni kama yangu, demu alinikubali lkn ndani ya siku 3 mfululizo alinipiga vizinga vya pesa Mara shida hii Mara shida ile, hapo hata hajanipa shimo, nkimwambia aje geto ananipiga kiswahili, nkamwambia mama kama hunipendi niache, sasa cjui hii ni stail yao mpya ya kumkataa mwanaume, kama sio kumchuna maana demu anajua akikukataa direct utampotezea mazima. Nampenda sana ila ndo ivo mizinga imenikimbiza, wanawake tunawapenda sana na tupo Tayar kuwapa hela ila msitufanye mazoba kwa kutufanya sie ATM Hajar Cosmasjulius
 
Wanawake wa siku hizi ni wap*****v sana aisee.Yaan anakukamua hela mfululizo kama si direct basi analeta mazingira indirect.
Kama huna mbaba mchane kikubwa na akibadilika tabia baada ya hapo jua kuna boya anamsokonyoa.
Ishi nao kwa akili na si moyo mkuu usije jipiga lisasi ya pu****mb bure.
 
Aisee we mtoa mada shida yako ni kama yangu, demu alinikubali lkn ndani ya siku 3 mfululizo alinipiga vizinga vya pesa Mara shida hii Mara shida ile, hapo hata hajanipa shimo, nkimwambia aje geto ananipiga kiswahili, nkamwambia mama kama hunipendi niache, sasa cjui hii ni stail yao mpya ya kumkataa mwanaume, kama sio kumchuna maana demu anajua akikukataa direct utampotezea mazima. Nampenda sana ila ndo ivo mizinga imenikimbiza, wanawake tunawapenda sana na tupo Tayar kuwapa hela ila msitufanye mazoba kwa kutufanya sie ATM Hajar Cosmasjulius
Hapo kwenye nyekundu Mkuu. Duuh.

Hivyo bila kupewa hiyo huwezi saidia mwanamke?
 
Unachokisema ni kweli dada!

Sioni sababu ya kukimbia majukumu,ni kuyaface tu!matatizo ni sehemu ya maisha!

Hata kama huna pesa, unazungumza naye unamuelewesha,kuonesha hata ile concern ni msaada pia siyo lazima utoe chchte!
Ewaaaaa. Kweli kabisa usemalo kaka.
 
Sasa wewe bwana.unaanzaje kitumia vitu vya gharama halafu hutaki kugharamia .labda ulikuwa hujui zamani alikuwa anakutunzia mwanaume mwenzio sasa hivi zamu yako.ukichonga mzinga ujue ya kuvuna asali pia
 
Hapo kwenye nyekundu Mkuu. Duuh.

Hivyo bila kupewa hiyo huwezi saidia mwanamke?
shida moja Hajr siku hizi wanawake wwalio wengi mmekaa kimaslahi hivyo n hatar mtu kakitongoza kesho unalia shida.So ni bora iwe n gegedo kwa pesa.Mara nyingi mtu aliye serious hawezi kukuomba hela mapema hvo kwenye uhusiano saa zingine hata hajatoa jibu la yes au no anakutwanga vizinga.
 
shida moja Hajr siku hizi wanawake wwalio wengi mmekaa kimaslahi hivyo n hatar mtu kakitongoza kesho unalia shida.So ni bora iwe n gegedo kwa pesa.Mara nyingi mtu aliye serious hawezi kukuomba hela mapema hvo kwenye uhusiano saa zingine hata hajatoa jibu la yes au no anakutwanga vizinga.
Hahaaa. Nyie ndio tatizo Mkuu kwa kutoa mnapoombwa huku unajua kabisa hiki ni kizinga.
 
Hahaaa. Nyie ndio tatizo Mkuu kwa kutoa mnapoombwa huku unajua kabisa hiki ni kizinga.
wanaume ni dhaifu kwa mwanamke tokea enzi za adam na hawa mlituwezea.
Sema tatizo mapenzi siku hizi yamekuwa biashara ndio maana anaeombwa hela na yeye anaomba gegedo fasta.
But naamini unaweza kumkataa mtu bila kushusha vizinga na huku mzigo unatokomea nao
 
Mkuu,kama mwanzoni alikua hana tabia hizo,ujue sasa hivi ana matatizo ndio maana anakuomba!

Hata kama huna ungejaribu kuzungumza naye kumuelewesha kuliko kumkimbia!
aaahhgh wapi "" hapo ameshakutana na rafiki zake misambinungwa " imemfundisha tabia mbaya " ya kudanga ""... na bahati mbaya wakianzaga kudanga " huwa hawajui mpaka watu wa kuwadanga "" na wakuwa heshimu wao wanadanga tu " wanasahau kuwa ndio wanazidi kujiweka kwenye Mazingira magumu ya kutokuolewa
 
Kama alikua hakuombi pesa na sasa amekuomba..jua amekwama kweli
aaagh wapi "" kumbuka " muhusika amesema kuwa alikuwa anampa " lakini sasa imekuwa too much "" means " kila wakati Anataka hela tu ".. sasa kama baba Yke anaumwa " hawana ndugu wa kusaidizana nao ili waweze kufanya michango itakayo saidia " matibabu ya MZee wake ""....!?
 
Sijui nicheke sijui nihuzunike all in all pole kwa yaliyokukuta. Leo ndo unatambua kuwa mapenz pesa pole yako.
finally naona umeamua kucheka na sio kuhuzunika ...."" Aisee hahaa
 
Ntajitahdi nimtafutee niongee nae maana daah hata Mimi najisikia vibaya... sema hata tukiendelea ilee confidence ya kuwa nae ntakuwa sinaa kabisa... kiukweli ni mzurii na churaa anayoo ya kumwagaa so nipo njia pandaa
Mwanangu kama akikushinda ntupie huku maana hao chura huku kwetu adimu
 
Hapo kwenye nyekundu Mkuu. Duuh.

Hivyo bila kupewa hiyo huwezi saidia mwanamke?
Naanzaje kwa mfano??? Hivi unajua kuna watoto wa shangazi zangu kibao ambao wanahitaji msaada, hivi unajua kuna wadada walinisaidia class sasa hivi mambo yao yamepinda wanahitaji msaada??? hivi unajua hata mimi mwenyewe hizi pesa nazihitaji naanzaje kukupa wewe bila wewe kunituliza nafsi kidogo. Muwage mnafikiria
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom