Bora Nimpotezee kimya kimya

Bora Nimpotezee kimya kimya

Cosmasjulius

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2018
Posts
695
Reaction score
1,024
Aiseee kweli mwanamke ni kuishi nae kwa Akili... Mwaka Jana mwishoni nlipata girl flani hivi nkamtokea akakubali sasa mwanzoni hajwahi kuniomba helaa kabisa Ila mimi tu ndo nlikuwa najiongeza nampa kishkaji...mambo ya vocha kawaida Sana... sasa juzi Kati akawa amehamia sehemu ya mbali na ninakoishi akaanza kunililia shida nkawa nampa hela kishkaji tu lakini ikafika kipindi naona Ni too much anasema mpaka baba ake anaumwa na ukichek Mimi sipo vizuri kipesa now yani imebdi tu nimpotezee kimya kimya... japo nampenda Ila kila siku kumpiga viswahili na kumwambia sina hela nimeshindwaa...!!

Kweli mapenzi pesaaa...
 
Mkuu,kama mwanzoni alikua hana tabia hizo,ujue sasa hivi ana matatizo ndio maana anakuomba!

Hata kama huna ungejaribu kuzungumza naye kumuelewesha kuliko kumkimbia!
Nimefikiria Sana mkuu lakini sasa anachohitaji sasa ni pesa story zangu atazichokaa... Atachepukee alafu ntashindwa hata kumuuliza!!
 
Mmh. Sasa hiyo too much imeletwa na nini?Inamaana anakudanganya au ndio ushasahau ule usemi usemao ukipenda boga penda na ua lake.

Sioni tatizo kumsaidia mtu unayempenda na ambaye unamalengo naye baadae labda kama ulikuwa mpita njia Mkuu.

Kama huna mwambie huna na sio kusema unamtosa Mkuu.
 
inawezekana kampata rafiki anamshauri akuombe pesa au

kaachana na baasha wake aliyekuwa anampa pesa
hilii hasaa ndo ninalolionaa kakutana na wadada wa mjini wanampanga..
 
Mkuu,kama mwanzoni alikua hana tabia hizo,ujue sasa hivi ana matatizo ndio maana anakuomba!

Hata kama huna ungejaribu kuzungumza naye kumuelewesha kuliko kumkimbia!
Yaani Kaka wanaume mpo wa aina nyingi sana aisee.

Sa sijui mleta uzi hajui kama huwa matatizo ni sehemu ya maisha? Labda kama huyo mdada anadanganywa hapo tutamuelewa.

Ila nje ya hapo tutamuita mwanaume anayeogopa majukumu ndio sababu anataka kukimbia.
 
Mmh. Sasa hiyo too much imeletwa na nini?Inamaana anakudanganya au ndio ushasahau ule usemi usemao ukipenda boga penda na ua lake.

Sioni tatizo kumsaidia mtu unayempenda na ambaye unamalengo naye baadae labda kama ulikuwa mpita njia Mkuu.

Kama huna mwambie huna na sio kusema unamtosa Mkuu.
Halafu yupo hapa hapa anamsikia!


Nakusalimu dada ake.
 
Aiseee kweli mwanamke ni kuishi nae kwa Akili... Mwaka Jana mwishoni nlipata girl flani hivi nkamtokea akakubali sasa mwanzoni hajwahi kuniomba helaa kabisa Ila mimi tu ndo nlikuwa najiongeza nampa kishkaji...mambo ya vocha kawaida Sana... sasa juzi Kati akawa amehamia sehemu ya mbali na ninakoishi akaanza kunililia shida nkawa nampa hela kishkaji tu lakini ikafika kipindi naona Ni too much anasema mpaka baba ake anaumwa na ukichek Mimi sipo vizuri kipesa now yani imebdi tu nimpotezee kimya kimya... japo nampenda Ila kila siku kumpiga viswahili na kumwambia sina hela nimeshindwaa...!!

Kweli mapenzi pesaaa...
Sijui nicheke sijui nihuzunike all in all pole kwa yaliyokukuta. Leo ndo unatambua kuwa mapenz pesa pole yako.
 
Kama unayo mpe... kama huna mueleze... kumkaushia siyo poa...


Cc: mahondaw
Ntajitahdi nimtafutee niongee nae maana daah hata Mimi najisikia vibaya... sema hata tukiendelea ilee confidence ya kuwa nae ntakuwa sinaa kabisa... kiukweli ni mzurii na churaa anayoo ya kumwagaa so nipo njia pandaa
 
Mkuu,kama mwanzoni alikua hana tabia hizo,ujue sasa hivi ana matatizo ndio maana anakuomba!

Hata kama huna ungejaribu kuzungumza naye kumuelewesha kuliko kumkimbia!
Mwanaume hutakiwi kusema sina pesa hasa kwa girlfriend inatakiwa umwambie mkeo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom