Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Red black

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2019
Posts
12,030
Reaction score
37,323
Wakuu niajee,

Umasikini hauvumiliki, umasikini ni mateso, umasikini ni adhabu mbaya na ngumu kwenye huu ulimwengu.

Kuna raia hawana malazi,chakula,mavazi... nk. Kuna raia wanaishi kwenye mazingira magumu sana.

Ukipata nafasi ya kumsaidia masikini yoyote yule kwa chochote fanya hivyo naamini utabarikiwa sana,

Ukiwa masikini kwenye hii dunia utateseka sana, the world is not fair.

Umaskini.png

 
Wakuu niajee

umasikini hauvumiliki, umasikini ni mateso,
umasikini ni adhabu mbaya na ngumu kwenye huu ulimwengu.View attachment 3526966
kuna raia hawana malazi,chakula,mavazi... nk

kuna raia wanaishi kwenye mazingira magumu sana.


ukipata nafasi ya kumsaidia masikini yoyote yule kwa chochote fanya hivyo naamini utabarikiwa sana,

Ukiwa masikini kwenye hii dunia utateseka sana,
the world is not fair.
Huko kufa kunakuwa ni kwa kujiua,kuuwawa au kufa kifo cha kawaida tu?
 
Wakuu niajee

umasikini hauvumiliki, umasikini ni mateso,
umasikini ni adhabu mbaya na ngumu kwenye huu ulimwengu.View attachment 3526966
kuna raia hawana malazi,chakula,mavazi... nk

kuna raia wanaishi kwenye mazingira magumu sana.


ukipata nafasi ya kumsaidia masikini yoyote yule kwa chochote fanya hivyo naamini utabarikiwa sana,

Ukiwa masikini kwenye hii dunia utateseka sana,
the world is not fair.
Mimi masikini nisaidie mkuu , charity begins at home
 
Wote hapa duniani tumezaliwa masikini, utajiri huja kwa factor mbili, 1. Umekuta mali ukarithi 2. Mazingira,hali ya amani,utulivu na misingi ya nchi inaweza kukufanya uwe tajiri ama masikini. Imagine watu wa burundi,unawezaje kuwalaumu kwa umasikini wao? Na wewe tajiri wa sasa,usiutumie utajiri wako ktk majivuno na kiburi,hauijui kesho yako.
 
Wote hapa duniani tumezaliwa masikini, utajiri huja kwa factor mbili, 1. Umekuta mali ukarithi 2. Mazingira,hali ya amani,utulivu na misingi ya nchi inaweza kukufanya uwe tajiri ama masikini. Imagine watu wa burundi,unawezaje kuwalaumu kwa umasikini wao? Na wewe tajiri wa sasa,usiutumie utajiri wako ktk majivuno na kiburi,hauijui kesho yako.
life is not fair
 
Back
Top Bottom