Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,262
Ila kweli alichofanya hakikubaliki ,yey badala ya kutoa majibu anamcomplainsacha kumzihaki mwenzio ww kama hutaki kuchangia kaa kimya tu maana huu uzi utakuepo mpaka miaka 7 ijayo na itakua msaada kwa watakao ingia