Boom la Serikali HESLB

acha kumzihaki mwenzio ww kama hutaki kuchangia kaa kimya tu maana huu uzi utakuepo mpaka miaka 7 ijayo na itakua msaada kwa watakao ingia
Ila kweli alichofanya hakikubaliki ,yey badala ya kutoa majibu anamcomplains
 
acha kumzihaki mwenzio ww kama hutaki kuchangia kaa kimya tu maana huu uzi utakuepo mpaka miaka 7 ijayo na itakua msaada kwa watakao ingia
Kabisaa, kwa sabab yeye anajiona ndo mwny mamlaka ya kuamua nan wa kuandaa thread na kwa wakat upi, wakati hata uenyekiti wa mtaa hana! Halaf istoshe hana hata hisa ya 1℅ jf, abadilike kiukwel
 
Inategemeana na maisha ya utumiaji wako wa hela. Siku mnapewa Bei gani. Je utakaa hostel za chuoni,mtaani ,utakuwa unatumia nauli,mfano ukiweza kula mkate na maji ya Bomba Ina Mana mkate mmoja kwa siku moja so buku inatosha.
So Kama unapewa let say 9000 unasevu buku 8 kwa miezi minne 960k kwa miaka yako minne ama mitatu unayo Kama 3M. Bado hela ya field so ukijibana waweza toka na kitu Kama 4M Kama unabeti utakuza hela yako up to 6M. Ukitoka chuo utakuwa na pa kuanzia hata kuuza karanga kuchoma mahindi kibanda Cha chipsi unachoma mishikaki meza ya matunda hii tu ukipata location nzuri ukaweka mtu ama mkeo basi unamaliza ndani ya 2yrs unajenga kwako mkuu
Mmmmmh Kwan we ulipata boom au unaongea tu
 
Boom lina mambo mengi apo semester ikisha umesave hata laki 3 inakua ngumu. Unakuta mda unaongea na home kuna mambo kibao hayajakamilika + plus wewe kijana unaeza kufika chuo unasema ununue nguo hata kadeti za presentation ki ukweli pale ukiwa hupati ela kabisa home utahitaji high commitment na utasave ela chache sana
 
Back
Top Bottom