Omona Wanyu
Member
- Feb 29, 2012
- 51
- 6
Ngoja nkamcheck baby wangu kalala, si unajua tena research amechoka, nyie kalieni umbea hapo:A S embarassed: mimacho imewatoka mpaka saivi kufatilia ishu za wanaume komaa maisha magumu utaolewa mkaka!
Nianike kama wewe ni wa kiume! heri me bastard but you are the king of the foolest, nani kajidharirisha huo ndo ukweli huna hadhi!!!! umeajiliwa na chuo bata kama wewe asee kama ni kweli imekula kwao, nakuhakikishia yule sio level yako we ni mtoto sana tena hujitambui angalia reasoning yako na organization ya idea zako too much inferiority we nenda kapewe chomolea makoroboi, vijana wa kazi gani au magenge tu ya wahuni, si mjitokeze peupe kama Mataba na wenzake!!???? shombo walijua shombo weye kinuka jasho weye kikojozi, una-act on hear say yani ***** kweli! magari mamaaaaa! kwa taarifa yako magari nimeyazoea vizuri tu nimezaliwa kwenye familia bora baba, watoto tunalo la pekeyetu babaa!!! tinted ona ulivo na akili kama ya mbuni tinted hadi kwenye bajaji ckuizi babu, Harakati zinaendeshwa mahali pa wazi na wanaume na wanawake wanaojitambua na kujiamini kama Nyerere, Ghandi, Mandela, lakini sio kama wewe na mbwiga na ndezi wenzio, tuko na starehe zetu unatueleza shida zako za nini, SAUTSO oyeeeeee!!!!!!!!!!!
sautso wamebana wameachia wenyewe..tunaanza kusaini jmosi.
Hii post haina ukweli wowote na kama ndio tupe prove hii ni uzushi na sio ukweli u cant convince me for this kwa kweli
huyo dem sijui kakimbilia wapi, nimevunja ratiba zangu nionane naye sasa sijui km atakuja au vp. Ngoja nisubirie. Hawa SAUTSO wanatuma vidudu mtu vyao humu kuimba taarab badala ya kujenga hoja.