Boom boom boom kwa vyuo vya Afya MUHAS, IMTU, BUGANDO(CUHAS), Kairuki(HKMU)

Bodi itakuja kukanusha sasa Hivi, wait and see
Na ikanushe ione maandamano yataanzia Bugando Mwanza kupitia MUHAS muhimbili na Mbezi Beach IMTU pamoja na Hubert Kairuki yataishia Bodi
 
Bado Utamsikia Makamu Wa Rais Akilalamika Eti Viongozi Wanafunzi Wa Vyuo Vikuu Wanaongoza Kujiuza
 
BOOMBOOM
Habari za wakati huu wanamuhasso wote ,poleni na masomo pia na kipindi hiki kigumu .

Wizara ya mikopo inapenda kuwajulisha kuwa juhudi za ufuatiliaji wa malipo ya chakula na kujikimu zinaendelea kufanywa na wizara kwa ukaribu wa hali ya juu kwa kulingana na ufuatiliaji wa tarehe 28/06/2016 na 30/06/2016 uliofanywa na wizara ya mikopo na ruzuku kupitia watendaji wake kwa kushirikiana na afisa mikopo wa chuo chetu mr Kaduma ulipata majibu ya moja kwa moja kutoka bodi ya mikopo ya Elimu ya juu kwamba Serikali kuu ndio haijatoa pesa hizo kwa ajili ya malipo hayo.

Wizara ya mikopo inatambua kuwa hali ni mbaya hata sisi kama wizara tunawakati mgumu lakini ukweli ndo huo sababu kubwa ni serikali ya jamuhuri ya muuungano wa tz.

Leo tarehe 1/06/2016 wizara ya mikopo imefanya mazungumzo ya kina na marefu na dv arc prof Lyamuya kuhusu malipo ya pesa hizi nae amekiri kutambua hali ngumu ya wanafunzi wote lakini nae amesema kuwa bodi ya mikopo wanashindwa kutoa fedha hizi kwa wakati kwa sababu Serikali kuu haijawapa pesa hizi.

Kuhusu kukaa kimya kwa wizara ya mikopo na ruzuku si kwamba haifanyi ufutiliaji lakini ufuatiliaji huo unafanywa kwa juhudi kubwa ingawa taarifa hutolewa pale panapohitajika.

Ni lini bodi ya mikopo watatoa pesa hizi ,kiuarisia bodi ya mikopo si waaminifu hata siku moja maana wamekuwa wakiahidi ahadi hewa kila siku na wizara ya mikopo haina imani na ahadi zao. Wizara ya mikopo imeitaka bodi kutoa jibu lini watatoa pesa lakini wamekataa kabisa pia chuo kupitia ofisi ya dvc arc waliwataka bodi kupitia ofisi ya mkurugenzi mkuu wa bodi kusema lini watatoa pesa hizo lakini hakuweza kusema siku maalumu ya kutoa malipo hayo.
Aidha hali hii ni ngumu sana kwa Serikali ya wanafunzi na wanafunzi wote na huo ndo ukweli uliopo juu ya malipo hayo na wizara inaona si vema kuficha kitu chochote juu ya malipo haya..
N.B Boom ni letu tulidai kwa umoja na kwa nguvu zote maana ni mishahara yetu itakatwa bila kusubiri michakato

Imetolewa na wizara ya mikopo na ruzuku leo tarehe 01/07/2016
 
Hii barua nayo siielewi elewi.

Kama uhakiki umekuwa mgumu hadi sasa kuna labda kibao .

Watenda kazi wa HESLB hawajitoshelezi kwa idadi.

Watenda kazi wa HESLB wanafanya kazi bora liende tu bila kujali wanafunzi wanaumia kwa kiwango gani.

Watendakazi wa HESLB, hawako competent kwa kazi zao, ndo maana wako slow.

Serikali imesubiri mwaka wa fedha uanze, ili wizara nazo ziwe huru kuanza kutumia fedha ikiwemo za Bodi.

Majibu tofauti tofauti yanayotolewa, yanaonesha kuna uwezekano mkubwa fedha za mwaka wa fedha wa 2015/2016 hazikufika Bodi ya Mikopo kama ilivyokuwa imepangwa na ndiyo maana inapwaya kuwapa fedha wanafunzi.

Chuo cha UDSM walipopanga kugoma, walipewa fedha zao ndani ya saa 48. Hii inaonesha walifanya hivyo kumpa mazingira mazuri Mwenye kaya kabla hajaenda pale kuzindua Maktaba. Maana UDSM ni chuo chenye wanafunzi wengi mno ukilinganisha na vyuo ambavyo hawajapata mikopo. Je wametumia muda gani uhakiki wa UDSM ambapo wanafunzi ni wengi kiasi kwamba ihitajike wiki kadhaa kwenye vyuo ambavyo wanafunzi ni wachache?
Tatizo ni uhakiki au fedha.?
 

Attachments

  • 425421460_47655.jpg
    425421460_47655.jpg
    30.1 KB · Views: 62
Hii barua nayo siielewi elewi.

Kama uhakiki umekuwa mgumu hadi sasa kuna labda kibao .

Watenda kazi wa HESLB hawajitoshelezi kwa idadi.

Watenda kazi wa HESLB wanafanya kazi bora liende tu bila kujali wanafunzi wanaumia kwa kiwango gani.

Watendakazi wa HESLB, hawako competent kwa kazi zao, ndo maana wako slow.

Serikali imesubiri mwaka wa fedha uanze, ili wizara nazo ziwe huru kuanza kutumia fedha ikiwemo za Bodi.

Majibu tofauti tofauti yanayotolewa, yanaonesha kuna uwezekano mkubwa fedha za mwaka wa fedha wa 2015/2016 hazikufika Bodi ya Mikopo kama ilivyokuwa imepangwa na ndiyo maana inapwaya kuwapa fedha wanafunzi.

Chuo cha UDSM walipopanga kugoma, walipewa fedha zao ndani ya saa 48. Hii inaonesha walifanya hivyo kumpa mazingira mazuri Mwenye kaya kabla hajaenda pale kuzindua Maktaba. Maana UDSM ni chuo chenye wanafunzi wengi mno ukilinganisha na vyuo ambavyo hawajapata mikopo. Je wametumia muda gani uhakiki wa UDSM ambapo wanafunzi ni wengi kiasi kwamba ihitajike wiki kadhaa kwenye vyuo ambavyo wanafunzi ni wachache?
Tatizo ni uhakiki au fedha.?
Hiyo barua no fake haipo kwenye web yao
 
Hii barua nayo siielewi elewi.

Kama uhakiki umekuwa mgumu hadi sasa kuna labda kibao .

Watenda kazi wa HESLB hawajitoshelezi kwa idadi.

Watenda kazi wa HESLB wanafanya kazi bora liende tu bila kujali wanafunzi wanaumia kwa kiwango gani.

Watendakazi wa HESLB, hawako competent kwa kazi zao, ndo maana wako slow.

Serikali imesubiri mwaka wa fedha uanze, ili wizara nazo ziwe huru kuanza kutumia fedha ikiwemo za Bodi.

Majibu tofauti tofauti yanayotolewa, yanaonesha kuna uwezekano mkubwa fedha za mwaka wa fedha wa 2015/2016 hazikufika Bodi ya Mikopo kama ilivyokuwa imepangwa na ndiyo maana inapwaya kuwapa fedha wanafunzi.

Chuo cha UDSM walipopanga kugoma, walipewa fedha zao ndani ya saa 48. Hii inaonesha walifanya hivyo kumpa mazingira mazuri Mwenye kaya kabla hajaenda pale kuzindua Maktaba. Maana UDSM ni chuo chenye wanafunzi wengi mno ukilinganisha na vyuo ambavyo hawajapata mikopo. Je wametumia muda gani uhakiki wa UDSM ambapo wanafunzi ni wengi kiasi kwamba ihitajike wiki kadhaa kwenye vyuo ambavyo wanafunzi ni wachache?
Tatizo ni uhakiki au fedha.?
Hiyo kwanza kisheria hatuwezi iita barua! Haina Muhuri, Saini wala uthibitisho wowote hule utakaotufanya tuamini kuwa inatoka bodi ya mikopo.
Niwazi kuwa hiyo barua ni Fabricated.
 
Back
Top Bottom