Daaah yaani kumbe ulimwenguni kuna watu wa sampuli za kila aina eeehhh hahahahhhaaaa nilikuwa sijui. Jana nililala na cheko na bado nimeamka na cheko heheheheheheheheee.
Ujue nini, sitaki na wala sina upako wa kujibizana anayejisikia kutapika ruksaaa wino upoo ukiisha tumieni mate. Ila sijui niweke records sawaa halafu nikae kimyaaa au niachee......
Ila hata nikijibu ili niweke records sawa ili iweje..... Mie shida yangu mahaba.... maadamu nayapata maneno ya mpangaji / mpita njia hayanibadilishi muelekeo wangu hata kidogo.
Haya kumekuchaaa kumekuchaaa muda wa kuachia vyumba ndo huu nshashiba burekifast na funguo nsharudisha kwa wenyewe. Hapa nabarizi tuu kwenye mgahawa huku nikitabasamu. .....
Tukutane baadae Boogie Woogie.... Wale wadau wa Kasie Mahaba mkujee kwa wingi hehehehehe.
Jumapili ndo hii niko hapa mwanzo mwisho twende kazi. Pamoja na yooote, humu JF ntaishi ntavyotaka mie sio watavyotaka wao.
Hata sie wanayamwezi ni kawaida yetu kama ilivyo kawaida ya jirani zetu...... hatupangiwi cha kusema wala cha kuandika.
Nikijisikia tuu na minyege ikipanda tuu basi ni Mahaba kwa kwenda mbele na uzi juu, nisipojisikia naweza nikakaa kimya vile vile si kuwa sina jibu, napuuzia tuu......
Wajua nini, bibi yangu hakusoma ila alikinyaka kiingereza cha mkoloni na kabla hajarudisha namba aliniambia; "mjukuu wangu Kasinde, at this young age learn with your heart that; cooking is an art, writing is an art, singing is an art, talking is an art, listening is an art and so forth.
Even if you have all the certificates, if you are not an artist.... yes you'll do those things but not to that extent".
Hahahahahhahaa tangu hapoo, Kasinde ni Mahaba mahabaa ni Kasinde hakuna kuachana, full Artisan K' Mahaba Matata. Asante bibi yake Kasie kunitunuku maana with the art I have, I have it all.....
Halafu nilijua nikiamka asubuhi ntakuta watu wamenyoosha vidole kuwa hawapendi mautamu ya nonsense hehehehehehehheee wapi hata sijaona au labda walinyoosha halafu wakafuta mie sijaona....
Hapana cheza utamu weweee hehehehehheee, watu wanapenda sana mambo ya kijinga sasa jiulize kwanini?
Mwenye jibu atupatie tafadhali na mwingine naomba atuangalizie ni wangapi wamesoma hizi nonsense labda ndo tutajua idadi ya walinyoosha vidole.
Nawatakia jumapili njema yenye utulivu wadau wa Mahaba.
Mahaba Oyeeeeh.
Nonsense jeee.....!!?? Oyeeeeh au ziiiiiiii
Aahahahahahahha haaaa
K' Matata.