Hii imekaaje? Yaani tukimbie umande wenyewe wakati wenzetu wamekakomaa mpaka kapata PhD halafu tunanuna?
Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Elimu bila akili ni buree mzungu kaleta Elimu na mungu kaumba akili wengi wanafikiria kwa kutumia Elimu badala ya akili ambayo inaendana n mazingira halisi