zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Yani Tanzania tumeendelea sana upande wa mapenzi na mahusiano.
Kiufupi sijui ni nani alituambukiza. Ni kama vile tumetumwa kwa ajili ya mapenzi. Yaani bongo mtu awe mtoto awe kijana mapenzi anayajua.
Tena kwa mfano watoto wa shule za secondary walimu walishasolve kesi za LOVE AFFAIRS mpaka washachoka. Wa secondary maongezi yao utafikiri ni ya kuhusu masomo la hasha! Ni Love tu. Vigroup vyao ni vya gossips na udaku wala sio masomo ni LOVE tu..
Alafu nikajiuliza hivi Bongo hakuna mabikra au nini? Kwasababu ukizunguka kila msichana unayekutana nae ye ndio hodari yaani ndio mjuzi mpaka basi.
Mwanaume unaweza ukawa bado hujui kuhusu mapenzi ila wadada sasa wamebobea. Ni ngumu kukuta ka girl kadogo muanze nako relationship kakiwa hakajawahi kuonja dunia ya Love?
Kiufupi sijui ni nani alituambukiza. Ni kama vile tumetumwa kwa ajili ya mapenzi. Yaani bongo mtu awe mtoto awe kijana mapenzi anayajua.
Tena kwa mfano watoto wa shule za secondary walimu walishasolve kesi za LOVE AFFAIRS mpaka washachoka. Wa secondary maongezi yao utafikiri ni ya kuhusu masomo la hasha! Ni Love tu. Vigroup vyao ni vya gossips na udaku wala sio masomo ni LOVE tu..
Alafu nikajiuliza hivi Bongo hakuna mabikra au nini? Kwasababu ukizunguka kila msichana unayekutana nae ye ndio hodari yaani ndio mjuzi mpaka basi.
Mwanaume unaweza ukawa bado hujui kuhusu mapenzi ila wadada sasa wamebobea. Ni ngumu kukuta ka girl kadogo muanze nako relationship kakiwa hakajawahi kuonja dunia ya Love?