Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,448
- 16,312
Binafsi sijaona alipokosea huyu dogo mpaka nyie mnaojiita majaji mumcheke na kumkejeli kiasi hiki.
Kwanza dogo hajapewa pace ya kuweza kufanya alichokusudia, yani ile ametoa sauti tuu majaji wote wakacheka kwa vicheko vikubwa na kejeli mpaka wakampotezea confidence dogo.
Hili limekuwa sio shindano bali ni sehemu ya kuwapotezea muda tuu vijana maana sidhani kama wako makini kupata vipaji sababu hawana concentration kabisa.
Kwanza dogo hajapewa pace ya kuweza kufanya alichokusudia, yani ile ametoa sauti tuu majaji wote wakacheka kwa vicheko vikubwa na kejeli mpaka wakampotezea confidence dogo.
Hili limekuwa sio shindano bali ni sehemu ya kuwapotezea muda tuu vijana maana sidhani kama wako makini kupata vipaji sababu hawana concentration kabisa.