Bongo Star search 2019

Newword

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2019
Posts
326
Reaction score
304
Nimefuatilia mchuano huu na nimebaini kwamba baadhi ya majaji wanakatisha tamaa vipaji vipya kwa kutoa lugha za kejeri.Mfano wa lugha hizo ni kama vile

1. We huwezi kabisa
2.We unapiga kelele huimbi
3.Jaribu kutazama wasanii wengine.

Tujaribu kuwapa moyo vijana wetu si kuwavunja moyo.
 
Mimi nawakubali P. Na master basis wengine wauza sura tu pale
 
Juzi wakasema hatoki mtu next week ina maana siku hiyo itapigwa nusu final pamoja na faino????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…