Mpentecoste
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 212
- 213
wange jifunza siri ya mtungi tu.hakuna vitu vingi wametumia asilia.ukicheki utazani wametumia pesa ya kufa mtuTatizo bongo movie, kuanzia waigizaji hadi watengenezaji haiwachukulii tasnia ya filamu kama taaluma. Wao wakishapaga poda wanajichukulia wana vipaji vya kuzaliwa visivyohitaji elimu. Mwisho wa siku..........
Bongo Movie ni kwikwiHivi bongo movie kuna movie yoyote kuna uharibifu wa mali kama magari na nyumba??
Au kuna movie yoyote kuna upigaji wa risasi kama live vile?
Au ushiriki wa waigizaji wanaovaa kama JWTZ na vifaa vyao kama vifaru, makombola na mabomu hata ya kutupa kwa mkono?
Wapo vizurBongo movie sio mbaya sana
Ha ha ha nomaaaSarafina na Neria sitazisahau maishani japo enzi hizo nilikuwa sijui kiingereza nilikuwa nasikilizia wanapocheka nami najichekesha.
Wolpa? Si bora Domo platnum.Kwani msanii Nguli kama Wolpa na ngazi za juu hawezi kuwasiliana na hao HOLLYWOOD wakaja kurekodi Bongo Movie? ili waachane na Camera za birthday party?
Bar ishajifia kitamboBar ya uwoyya aka Mrs. Ngarenaro inajaa kama Hollywood
YesWolpa ni nguli??
Ha ha ha hasteve nyerere hana connections huko hollywood?
Baa imejifia kitamboBar ya uwoyya aka Mrs. Ngarenaro inajaa kama Hollywood
JomoniiRIP Kanumba
Bongo mtu bunduki moja haiishi risasi mpaka mwisho wa muvuHivi bongo movie kuna movie yoyote kuna uharibifu wa mali kama magari na nyumba??
Au kuna movie yoyote kuna upigaji wa risasi kama live vile?
Au ushiriki wa waigizaji wanaovaa kama JWTZ na vifaa vyao kama vifaru, makombola na mabomu hata ya kutupa kwa mkono?