Mpentecoste
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 206
- 210
Sisi filamu zetu ni low budget tena tunatumia teklnolojia duni kama walivyoanza wanaijeria au wahindi lakini angalau tunapiga hatua serikali ikiwapa sapoti bongo movie tutafika mbali Hollywood hawajaanza movie Marne hii wametoka mbali Sana