Bongo movie aibu tena

wamesha kunywa maji ya ray yale na viroba hao kwani lazima kuangalia movie zao za kutuanikia mapaja nje wakitaka vya nje vifungwe wasivae nguo za nje wavae kama mpoto ivi kwa mfano movie za hawa dada zetu wakaa uchi nani anazitaka wajipange aisee atununui ng'o
 
basiii waruhusu tuangalie bunge live,maana tunakoendea huko ni kubaya zaidi movie zenyewe za bongo hazina mvuto
 
Na hiki ndicho kitu halisi, na ni jambo jema sana, lakin naona watu fulan kwa manufaa yao wenyewe wadanganya watu wazima ,na kuifanya ionekane kwamba serikali inachofanya si sahihihi.

Ni udanganyifu, na asilimia 90 ya wachangiaji wamechangia ktk uelewa ulio potoka,

Mods fungia huu uzi au uwekwe sawa
 
Tatizo ni huyo dikteta hapo magogoni yeye akiamua kila mtu anakurupuka hata majadiliano hakuna.
Haya yanatokea kwa msukumo wa wauza papa Wa bongo movie. Soko lao ni kubwa sana ila linaangushwa na vibanda vya kukodisha bongo movies uswahilini. Yaani movie mpya ikitoka tu fasta watu wanaenda kuikodi vibandani. Yaani mtu ameona movie zote za bongo movie lakini zote hajanunua hata moja.

Watafute suluhisho LA matatizo yao wasije kuwa kama bongo flava walilia studio wakapewa lakini bado wanalia.

Wasitujengee chuki sisi hatuna tatizo nao wasitulazimishe tuuze kazi zao kwani hao wanaowauzia wanatosha sana tu.
 


Kwa kuchangia kidogo hapo, mi nafikili hakuna ubaya kwenye hilo, kilicho muhimu kwetu ni kutengeneza filamu zenye ubora wa hali ya juu ili tuweze kupata kipato ambacho kitatufanya tuweze kushindana na hao wa mbele. Na nafikiri hiyo ndiyo sababu kubwa ya kuzuia filamu za mbele zisiingie kwa wingi mdau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…