bunally Rashid
Member
- Dec 24, 2008
- 10
- 3
Hongereni wakuu...tukipata watu 2 kila nchi kama nyie, tayari hatutawahitaji kina Dadamond tena!
Chuki mbaya sana.
safi sana! hofu ya kulishana konokono na jongoo bila shaka haitakuwepo tena!!
mkuu hapo nyumban xiaobei tunakuja sana .hongeren na shukran kwa kutufanya tule vya nyumban tukiwa ugenini