Kajala ndo anawatungia nyimbo kina Wizkid, Rema, Burna Boy, Fire boy, Davido, Yo Maps na mastaa wengine wakubwa hapa Afrika. Hili ni jambo amelifanya siri kwa miaka mingi. Kama mnakumbuka wimbo wa African Queen wa 2face Idibia basi ule ulitungwa na Kajala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.