Kila kitu ni kukijulia ,mtu hunyakanyaga bongo miaka kibao,ukifika unavamia na kuwaona watu bado ni wale wale uliowawacha kumbe inawezekana kabisa wapo mbele kimaendeleo kwani miaka yote uliyoondoka tayari wameshafika wageni wengi kutoka kila pembe ya Dunia ,aisee wewe umeishia hapo UK tu ,huku wanakuja watu kutoka mataifa mbali mbali na wanajumuika na wenyeji hivyo inawezekana kabisa wakakushangaa ,maana nchi imejaa vibaka na wewe unafanana navyo ,kwani vibaka mavazi yao ni ya bei mbaya ,hapo ndipo wanapokuchanganya na kukuona mwizi tu ,lazima wakuekee ubavu ,ili kama yapo mazungumzo yaishe ,si unajua tena nchi imekauka lazima utilie maji ili mimea ije juu,iyo lugha ulipoondoka ilikuwa haipo.