Jezi ya nyumbani ya Aston Villa kwa UK inauzwa kwa paundi 55.
Kumbuka paundi moja ni shilingi 3013.67.
55*3013.67=165715
Halafu hapa mnatuuzia jezi Tsh 30000 na kutuambia original.
Bongo hakuna jezi original.
Naitwa Six Man.
View attachment 1334617
Sent using
Jamii Forums mobile app