kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Je ni kila mtindo unaopigwa na masharo baro au ni muziki wa dansi wa kiswahili uliokolezwa bila vyombo halisi?(Muziki wa kutengeneza kwenye computer?)
Ni kawaida kukuta muziki wa Kwaito ukiimbwa na kijana wa kiswahili unaitwa bongofleva,na hata akipiga Nigerian utasikia watu kuushobokea sana na sifa nyingi kwa bongo fleva ijapo ki ukweli muziki unajina lake!Sasa nauliza tuu,hii bongofleva ni muziki wa aina gani?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Ni kawaida kukuta muziki wa Kwaito ukiimbwa na kijana wa kiswahili unaitwa bongofleva,na hata akipiga Nigerian utasikia watu kuushobokea sana na sifa nyingi kwa bongo fleva ijapo ki ukweli muziki unajina lake!Sasa nauliza tuu,hii bongofleva ni muziki wa aina gani?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums