Pdidy JF-Expert Member Nov 22, 2007 51,624 23,057 Aug 30, 2009 #1 Habari zilizotufikia zinasema bomu moja limelipuka jana katika kiwanja cha mtu wakati mtoto wake wa kazi akifanya usafi uwanjani,,,habari zaidi zinasema alipata majeraha kidogo akuna aliekufa............. KAZI KWENU JWTZ tuchachoka na mabomu jamani
Habari zilizotufikia zinasema bomu moja limelipuka jana katika kiwanja cha mtu wakati mtoto wake wa kazi akifanya usafi uwanjani,,,habari zaidi zinasema alipata majeraha kidogo akuna aliekufa............. KAZI KWENU JWTZ tuchachoka na mabomu jamani