mkuu mimi nilivyoelewa pale baada ya lile bomu la mkono kurushwa, kuna raiya walikua mbali kidogo hasa wale waliokua kwenye usawa uwanja wa mpira wa miguu walidhani ni polisi wameanza kupiga mabomu ya machozi na wao wakaanza kujitetea kwa kuwapiga kwa mawe ndipo polisi nao wakaanza kutupa mabomu ya machozi hovyo.
naamini polisi wasingerusha mabomu ningeweza hata kumkamata muhusika kwa mikono yangu mwenyewe kwasababu alikua karibu yangu sana.
cc to Mungi
ccm hawawezi kutega hayo mabomu ,ili waachive nini?tena siku ya mwisho wa kampeni...mbona unakua na haraka kulaumu kabla,au unahusika mkuu?
Sheria inasemaje kuhusu kuua kwa kukusudia,uko mlipomuweka kwani ni kifungoni?,watuhumiwa wote wanakujaga na pingu ila yeye alikuwa free na bado mkamtoa mkidai hakukusudia kuua..Na serikali hiyo hiyo ndio ilimuweka ndani au sio?
Hizo ni siasa za uchochezi kama za mfa maji' kama mna ushahidi wa hayo yaliyotokea peleken kwenye vyombo vya sheria' hzo kafara mnazozitoa nyinyi cdm na kusingizia CCM zitawatokea puani' tumekuwa na vyama vingi vya upinzani nchi hii na Afrika kwa ujumla ila sijaona chama chenye siasa za kipuuzi na kipumbafu kama cdm kisichojua hata thaman ya uhai wa watu?????
Naomba link ya taarifa hizo, na picha ikiwezekana.Kwa mujibu wa taarifa zilizopo rc na dc arusha walishatembelea na kujionea hali halisi na wametolea taarifa.
ccm kuweni makini na huyu mtu...kwa siasa zake chafu na kauli anazo toa azistahili kabisa na matokeo ya kauli zake majibu yanaonekana.
Hakika atawapa wakati mgumu sana kumnadi mgombea wenu wassira 2015...kwa sababu amtauzika kabisa kwa vitendo vyenu vya kinyama na kusababisha maisha ya watu kupotea...na pia nashanga sana usala wa taifa umeweka kambi arusha hii ni week ya pili lakini mambo kama haya yanatokea ni upuuzi wa hali ya juu sana na inauma sana kuona leo tufikie mahali tuogope kukusanyika mahali kwa kuhofia kulipuliwa.
mkuu unamfahamu mtu anayeitwa mwigulu nchemba? Usifanya mchezo, ile machine ni kama savimbi!mkuu unachoongea ni sawa na kujaribu kina cha maji kwa miguu miwili tumeshuhudia maeneo mengi chadema wakifanya siasa za matukio ya kuuwa watu na vurugu kwa hiyo wanaweza kuhusishwa pia;lakini mantiki hapa siyo kutupiana mpira ni kutafuta ukweli.
Mkuu mbona mnatoa matamko haraka sana kabla hata upelelezi haujaanza?
Inawezekana kabisa mnajua kinachoendelea
kwahiyo mkuu aliyelirusha mmepata taarifa zake zozote za utambulisho wake au kama ameshatiwa mikononi?
Ntawashangaa sana polic kama hatawatia ndani viongoz wa ccm mana ndo kazi yao.Duh...?
Ni dhahiri basi hata wao polis watakuwa walimwona au waliona hicho kilichorushwa,kama kuwapiga wangeanza kuwapiga hao waliokuwa mbali ambao walianza kuwarushia mawe,kwa nini wa-deal na nyie ambao mlitaharuki kwa hilo bomu...
mkuu mimi nilivyoelewa pale baada ya lile bomu la mkono kurushwa, kuna raiya walikua mbali kidogo hasa wale waliokua kwenye usawa uwanja wa mpira wa miguu walidhani ni polisi wameanza kupiga mabomu ya machozi na wao wakaanza kujitetea kwa kuwapiga kwa mawe ndipo polisi nao wakaanza kutupa mabomu ya machozi hovyo.
naamini polisi wasingerusha mabomu ningeweza hata kumkamata muhusika kwa mikono yangu mwenyewe kwasababu alikua karibu yangu sana.
cc to Mungi
Sheria inasemaje kuhusu kuua kwa kukusudia,uko mlipomuweka kwani ni kifungoni?,watuhumiwa wote wanakujaga na pingu ila yeye alikuwa free na bado mkamtoa mkidai hakukusudia kuua..
Hizo ni siasa za uchochezi kama za mfa maji' kama mna ushahidi wa hayo yaliyotokea peleken kwenye vyombo vya sheria' hzo kafara mnazozitoa nyinyi cdm na kusingizia CCM zitawatokea puani' tumekuwa na vyama vingi vya upinzani nchi hii na Afrika kwa ujumla ila sijaona chama chenye siasa za kipuuzi na kipumbafu kama cdm kisichojua hata thaman ya uhai wa watu?????
Nafikiri waliokuwa wanawindwa hapo ni hao wawili. Mungu aturehemu jamani.Bomu tena Arusha. Inavyoonekana kulikuwa na njama za kumpata ama Lema au Mbowe. Watu wameumia sana.