Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,028
- 144,382
Mbona waliompigia kura Mwanza hawakubomolewa?Upo na hasira za kisiasa tu,kama tanesco wameondoka nao njia ni moja!
Kanisa mlijenga kabla ya reli kuwepo??Kanisa letu tumejenga kwa gharama kubwa na lipo pale miaka mamia inakuwaje leo mmoja aje abomoe. Alipe gharama ya jengo lile. Toka mkoloni jengo liko hapo
KENYA MAAMUZI YANATOLEWA NA WATAALAMU, HUKU KWETU KILA KITU TUMEWAACHIA WANASIASA AMBAO WENGI WAO WANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA TUKwanini serikali isihamishe hii miundo mbinu ya reli kupeleka nje ya Dodoma kama walivyofanya shirika la reli la Kenya ilipohamishia kituo kikubwa cha reli nje ya Nairobi?
Lilijengwa lini?Kanisa letu tumejenga kwa gharama kubwa na lipo pale miaka mamia inakuwaje leo mmoja aje abomoe. Alipe gharama ya jengo lile. Toka mkoloni jengo liko hapo
Mkuu nilitembelea kituo cha treni kipya Nairobi ni 20 km kutoka city centre na imejengwa kwa utaratibu mzuri na ardhi kubwa. Dodoma ni mji mkuu kwasasa na unatakiwa kupanuka Rahco wangejeka kituo kikubwa nje ya Dodoma badala ya kutia watu umasikiniKENYA MAAMUZI YANATOLEWA NA WATAALAMU, HUKU KWETU KILA KITU TUMEWAACHIA WANASIASA AMBAO WENGI WAO WANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA TU
Usipoteze muda, kama jengo la TANESCO linaondoka, usitegemee anything less kama viko ndani ya hifadhi ya barabara.Jana tumeshuhudia bomoabomoa ikiendelea hapa mkoani Dodoma kwa vibanda vingi sana vya wafanyabiashara wadogo wadogo vikivunjwa pamoja na vituo vya mafuta na jengo la ofisi ya kampuni ya mabasi ya Shabiby.
Hata hivyo,wakati ubomoaji ukiendelea tunasubiri kuona kanisa kubwa la KKKT ambalo liko katika eneo ambalo vibanda vya wafanyabiashara jirani na eneo hilo vinavunjwa kama nalo litavunjwa.
Si hili kanisa tu,bali kuna majengo mengine katika eneo hili la Reli nayo tunasubiri kuona kama yatavunjwa ili kumkabidhi mkandarasi eneo la kujenga reli likiwa leupe kama wanavyodai.
TANZANIA NI NCHI YA ONE MAN SHOW, HAKUNA KUMPINGA mungu mtu. ATAKACHOAMUA NDICHO KINATAKIWA KIWE, HIVYO WATU WANAFANYA KUMFURAHISHAMkuu nilitembelea kituo cha treni kipya Nairobi ni 20 km kutoka city centre na imejengwa kwa utaratibu mzuri na ardhi kubwa. Dodoma ni mji mkuu kwasasa na unatakiwa kupanuka Rahco wangejeka kituo kikubwa nje ya Dodoma badala ya kutia watu umasikini
Tanzania tuna sehemu kubwa za maeneo ambayo yanatakiwa kuendeleza.
Maendeleo hayaletwi na bomoa bomoa.
UNASHANGILIA UJINGA WAKATI KODI YAKO NDIO INATEKETEA, HIVI UNADHANI KUBOMOLEWA JENGO LA TANESCO WANAOINGIA HASARA NI WAPINZANI TUUsipoteze muda, kama jengo la TANESCO linaondoka, usitegemee anything less kama viko ndani ya hifadhi ya barabara.
Alafu mnona "TUNASUBIRI TUONE" zimezagaa sana ktk uzi wako??
Poleni sana 4UMovement.