MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 793
na umeona matajiri hawajafanya kitu chochote na mpaka polisi alisema zoezi limeenda vizuri bila vurugu ................ukiona hivyo ujue kuna kitu kimefanyika ndo mana hawajalalamika zaidi ya mmoja alisema wangesema lini wanakuja ili waondoe vyombo vyao...............si bure lazima kuna fidia wamepewa..................
ila maskini analalamika sababu anakuwa ajapewa chake na nyumba yake inabomolewa................still sijaona haki hapo zaidi ya usanii kutuonyesha kwamba hata matajiri wanabomolewa kumbe danganya toto.
na umeona matajiri hawajafanya kitu chochote na mpaka polisi alisema zoezi limeenda vizuri bila vurugu ................ukiona hivyo ujue kuna kitu kimefanyika ndo mana hawajalalamika zaidi ya mmoja alisema wangesema lini wanakuja ili waondoe vyombo vyao...............si bure lazima kuna fidia wamepewa..................
ila maskini analalamika sababu anakuwa ajapewa chake na nyumba yake inabomolewa................still sijaona haki hapo zaidi ya usanii kutuonyesha kwamba hata matajiri wanabomolewa kumbe danganya toto.
Kwani jengo hili liko ufukweni au kwenye mazalia ya samaki/kwenye mikoko!
mama tibaijuka kafanya kweli!
Mama Tiba kaanza kuwatiba wagonjwa sugu...... thanks mama.
polepole..... mama Tiba alishalisemea liko njiani linakuja.
Mama Tiba alishawaita ofisini kwake kuwaambia waondoke wapeshe mkondo wa maji. Hao wa ufukweni nao alizungumza nao.
Ni wazi kuwa ubomoaji wa majumba ya kifahari kwenye fukwe ya Bahari ya Hindi,Dar es Salaam inavuta hisia za wengi.Wengine tunafuatilia tukishangaa namna wahuni wachache wa nchi hii walivyojilimbikizia mali na kujenga majumba ya thamani kubwa. Serikali inafanya kusudi kuvuta 'attention' ya watu ili wasahau mambo muhimu kama ya migomo na maisha bora.Serikali inajipalilia moto zaidi.Inaongeza chuki kwa wananchi.Kwanini isifanye sirini?
Tunafaidikaje kuangalia matingatinga yao? Ukweli ni kwamba,kila anayevunjiwa nyumba yake ameshalipwa. Serikali pale inafanya maigizo.Fahamuni kuwa Serikali iko kwenye harakati za kuwaaminisha watanzania kuwa yenyewe na viongozi wake si dhaifu.
kitu kama kimefanyika kizuri ntasifia ingawa imekuwa ngumu kuamini mana usanii umezidi kiasi kwa kuniwia vigumu kama kile kilichofanyika ni cha kweli au usanii ingawa mimi naamini ule ni usanii tu siwezi badili hilo.Huu ndio msimamo wa chama chako hata CCM ikifanya zuri ndio jukumu la upinzani wala haishangazi.
Tupe ushahidi kwamba wamelipwa????????????? unaweza kuficha fidia ya watu wengi kiasi hicho!!!! ni siri gani hiyo ya watu wengi hivyo???
Ni wazi kuwa ubomoaji wa majumba ya kifahari kwenye fukwe ya Bahari ya Hindi,Dar es Salaam inavuta hisia za wengi.Wengine tunafuatilia tukishangaa namna wahuni wachache wa nchi hii walivyojilimbikizia mali na kujenga majumba ya thamani kubwa. Serikali inafanya kusudi kuvuta 'attention' ya watu ili wasahau mambo muhimu kama ya migomo na maisha bora.Serikali inajipalilia moto zaidi.Inaongeza chuki kwa wananchi.Kwanini isifanye sirini?
Tunafaidikaje kuangalia matingatinga yao? Ukweli ni kwamba,kila anayevunjiwa nyumba yake ameshalipwa. Serikali pale inafanya maigizo.Fahamuni kuwa Serikali iko kwenye harakati za kuwaaminisha watanzania kuwa yenyewe na viongozi wake si dhaifu.
Rubbish, wenzako wanalia wamevunjiwa wewe unasema wameshalipwa. Uliwalipa wewe?