..........Jose!!!! hii ni taarifa ya tahadhari kwa wenye kuhusika sio lazima mpaka bomoa ianze, wanaohusika wanatakiwa kuchukua tahadhari... inawezekana wengine hawajui habari hii, ..... na wengine tuna ndugu na marafiki maeneo hayo lazima tuwaarifu ...........watastukia tingatinga zinasaga mali zao.....