Sawa. Nafikiri yule mwekezaji alitaka apanuliwe bandari kavu hapo alishatoa fungu la uhakika ili kazi ianze mara moja. Ila si walipewa siku 7. kwani zimeshapita.
Hawana huruma na wananchi waliowaweka madarakani hii serikali ya Magamba bule sana yana wanamsamini huyo m--------- anaetaka kuweka Bandari kavu katika eneo hilo.