Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Mmefanikiwa kuikomboa kutoka kwa wadeni wenu?
Mmefanikiwa kuikomboa kutoka kwa wadeni wenu?
Hahahaha sasa ole wao fisi walafi wa UFIPA. Mvinyo murua kabisa huo. Mkiufakamia 2020 mtaviringisha miguu badala ya mikono. Teh
"Honja " Hapana ni onja.HONJA MUWA HALISI
Imetulia vp mkuu umeionja?SAFI SANA
IMETULIA.