Bomba la mafuta Tanga - Hoima EACOP

Bomba la mafuta Tanga - Hoima EACOP

Boss kwa taarifa za karib km upo tanga basi kuna watu ambao wamepeleka barua za maombi wilayani Handeni kata ya misima kwahiyo wawez kuuliza kama una ndg site hizo ujue utaratibu upoje ahsante
Handeni ataenda rogwa asikanyage watu hawataki mchezo unamuuza mwenzio
 
Utaenda potea huko handeni we nenda

Ah ah haaaa!!

Sawa mkuu,,,

Japo Tanga watani zangu wale hawana tatizo kabisa, nimekaa sana Tanga, kuanzia Handeni kwa Wazigua, Muheza kwa Wabondei, Kilindi kwa wanyika, Korogwe kule bumbuli kwa Wasambaa mpaka hapo mjini kwa Wadigo... Bila kuwasahau Wasegeju, wangazija, watumbatu na Wadigoa wenyewe..!

Tanga hawana shida labda uwachokoze tu aha haa ahaaa! watani zangu hao, kipindi cha nyuma niliwahi kufanyakazi kule kwa "msisi" nadhani unapajua vizuri, pale kabuki na kule hando,

Pia maeneo kama kigoma kazura mimba, siwa sumbawanga na kaole bagamoyo nimeshafanyakazi hivyo mambo ya "utamaduni wa mwafrika ni kawaida tu!"

Tuko pamoja mkuu!
 
Pia tupeane feedback kwa atakaeenda kuulizia wajumbe
Mrejesho (feedback) wa bomba la mafuta Tanga - hoimaView attachment 2102612
IMG_20220131_135028_048.JPG
View attachment 2102611View attachment 2102610
 
Back
Top Bottom