New Rider
Senior Member
- Jun 29, 2021
- 131
- 269
Habari wakuu,
Naomba yeyote mwenye habari kuhusu ujenzi wa bomba la mafuta ghafi crude oil kutoka Hoima -Uganda hadi Tanga Tanzania juu ya kuanza kwa ujenzi wake anipe maelekezo kidogo.
Maana naona tu matangazo ya hapa na pale ambayo bado sijjjayaelewa kuhusu undani wake.
Naomba kufahamu kama ujenzi wa bomba hili umeshaanza au laah?!
Wameshatangaza ajira zao au bado?!
Na ofisi za kampuni ya Total inayojihusisha na bomba hili kwa hapa Dar iko maeneo gani?!
Natanguliza shukrani sana!
Naomba yeyote mwenye habari kuhusu ujenzi wa bomba la mafuta ghafi crude oil kutoka Hoima -Uganda hadi Tanga Tanzania juu ya kuanza kwa ujenzi wake anipe maelekezo kidogo.
Maana naona tu matangazo ya hapa na pale ambayo bado sijjjayaelewa kuhusu undani wake.
Naomba kufahamu kama ujenzi wa bomba hili umeshaanza au laah?!
Wameshatangaza ajira zao au bado?!
Na ofisi za kampuni ya Total inayojihusisha na bomba hili kwa hapa Dar iko maeneo gani?!
Natanguliza shukrani sana!
