[FONT=lucida
sans unicode]Ajira hadi sasa kuanzia LINDI ni 163; kati ya hao 68 ni
WATANZANIA waliobaki yaani 95 ni WAGENI
Kwahiyo pamoja na kulipia hilo bomba Dola Billioni 1.2 bado pia
Wataajiriwa wageni wengi zaidi ya WATANZANIA
[/FONT]
Aaah wapi, mtwara kitanuka
tu! Waambie JWTZ walinde watafanikiwa maana bado wanaheshimiwa na
wananchi. Lakini hawa akina Kamihanda wameshakosa weredi wa kazi na
heshima siku nyingi. Kajeshi haka ka raia wakakamavu ni chanjo cha
vurugu chenyewe.
Ajira hadi sasa kuanzia LINDI ni 163; kati ya hao 68 ni WATANZANIA waliobaki yaani 95 ni WAGENI
Kwahiyo pamoja na kulipia hilo bomba Dola Billioni 1.2 bado pia Wataajiriwa wageni wengi zaidi ya WATANZANIA
hahahaaaa, kitanuka wapi? chezea serikali wewe? wamedhibiti kila kona na hakuna kufurukuta. tunataka mpaka 2015 TATIZO LA UMEME NCHINI LIWE HISTORIA
hahahaaaa, kitanuka wapi? chezea serikali wewe? wamedhibiti kila kona na hakuna kufurukuta. tunataka mpaka 2015 TATIZO LA UMEME NCHINI LIWE HISTORIA
mkuu, tuipongeze serikali kwa kutoa ajira kwa watu hao. ila ukumbuke kuwa bomba hilo linatandazwa kwa kutumia mitambo maalum na si kuchimba kwa mikono. hivyo ujuzi katika mradi huo ni kitu cha msingi na bila shaka jukumu hilo lipo mikononi mwa serikali ya china