Bollen Ngetti apatikana huko Segerea

Alhamdullilah
 
Kokoto ni muoga kama matako ya kicheche

Akistuliwa kidogo tu,amehara!

Majitu yasiyo na akili hata yawe na madaraka kama “mungu” bado yatakua majinga tu!

Ujinga hauondolewi kwakua na madaraka!
Kumbe haya yote ni kwa sababu ya Membe???

jamaa ni mwoga sana.
 
Kumbe sababu kubwa ni Membe hivi Magufuli zimwo kweli?

Unamuogopa Membe ili iweje kwa mfano wakati una kila kitu?

Wewe ni rais, majeshi polisi TISS yote yako chama pia wewe ni mwenyekiti si umfukuze Membe uwanachama?
Ingawa wanasema tusikosoe kwa kejeli nawaza nawezaje kumkosa kwa staha mtu kama JPM??
 
Tatizo linakuja pale nchi inapoacha mambo yote na kuanza kumobiluze resources kumshambulia Ngeti Mmoa tena asiye na siraha. Hivi Kweli Ngeti ni wa kushambuliwa na serikali nzima?
 
Tatizo linakuja pale nchi inapoacha mambo yote na kuanza kumobiluze resources kumshambulia Ngeti Mmoa tena asiye na siraha. Hivi Kweli Ngeti ni wa kushambuliwa na serikali nzima?
Unasema Ngeti mmoja asiye na silaha???!!
Kwani silaha ni nini?
Maneno ni silaha kubwa mno, kalamu ni silaha kubwa inayo weza kukusanya mamilioni ya askari wa kiwango cha kujitoa muhanga kabisa.
Achana na the power of spoken or written words.
Maneno ya Adolf Hitler yalisababisha vita kuu ya pili ya dunia na kuuwa mamilioni ya watu kisha kubadilisha kabisa mfumo wa maisha ya binadamu dunia nzima.
Maneno yalitosha kuuwa wayahudi zaidi ya milioni 6.
Maneno yalisababisha mauwaji ya halaiki Rwanda na Burundi.
Maneno yame muondoa madarakani Albashir wa Sudan, hakitumika bunduki wala bomu kumuondoa.
Maneno ya uongo toka kwa viongozi wao yalisababisha waingereza na wamarekani wakubali askari wao wakavamie Iraq na kuivuruga nchi hadi kesho.

Waandishi wana nafasi kubwa sana kutumia silaha ya maneno ktk maandishi yao au matangazo yao ya sauti.
 
Hata kama sikubaliani na maudhui ya andiko lako 100℅ lakini kuna logic. Wakati mwingine tujifunze kukubali kutokubaliana.
 
Ka
Kama nilivyosema awali hata kama mtu hakubaliani na maudhui ya andiko lako lakini kuna hoja,huwezi kupuuza.Tujifunze kukubali kutokubaliana!
 
Hata kama sikubaliani na maudhui ya andiko lako 100℅ lakini kuna logic. Wakati mwingine tujifunze kukubali kutokubaliana.
Hakika hii ndio demokrasia umehubiri kwa vitendo. Tukubaliane kutokubaliana.
Mimi mwenyewe sipendi kabisa haya mambo ya kutekana na kutesana lakini wanao tekwa wachukue tahadhari kujilinda na sio kutegemea watanzania wanafiki na hash tag za #freeFlani wakiombwa waandame hawatoki ndani hata hatua moja.
 
Hayo ya kumuachia Mungu yanamchefusha Karl Marx huko aliko. Pambana na hali yako!
 
I appreciate mkuu, mwanaharakat unakuw umejitolea kwa kila kitu, kufa, kuchinjwa, kuliwa......😂😂, Sasa yeye alianza hzo harakat na anajua impact yake, syo Tz tuu n dunian kote, America tunayoiona et wana democracy but fuatilia what happened kwa kina Martin Luther Jr na wengine kibaooo, akae kwa kutulia amalize alichokianzisha😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…