Habari wadau, Endapo kuna mtu aliyewahi kutumia Bol mobile Dar, tafadhali nipe mwanga kuhusu speed ya Internet ya hawa jamaa, maana naona bei zao ni rahisi ila ndo bado wapya.
Habari wadau, Endapo kuna mtu aliyewahi kutumia Bol mobile Dar, tafadhali nipe mwanga kuhusu speed ya Internet ya hawa jamaa, maana naona bei zao ni rahisi ila ndo bado wapya.
Bado hiyo 5Mbps ni speed ya edge wee angalia modem za kibongo ni 7.2Mbps lkn kuna mda ni majanga kabisa...mm ninayo line nilipoichomeka kwenye modem ikasoma 2G nikatupa uvunguni hapo hapo
Bado hiyo 5Mbps ni speed ya edge wee angalia modem za kibongo ni 7.2Mbps lkn kuna mda ni majanga kabisa...mm ninayo line nilipoichomeka kwenye modem ikasoma 2G nikatupa uvunguni hapo hapo
Bado hiyo 5Mbps ni speed ya edge wee angalia modem za kibongo ni 7.2Mbps lkn kuna mda ni majanga kabisa...mm ninayo line nilipoichomeka kwenye modem ikasoma 2G nikatupa uvunguni hapo hapo