Boko Haram renames group - Islamic State in West Africa

Boko Haram renames group - Islamic State in West Africa

Status
Not open for further replies.

UKIWA MUISLAMU MATAKO TAKO YANAKUWA NI SEHEMU YA SHETANI KUJIBURUDISHA KWA MICHEZO YAKE.

Kasema Mtume (s.a.w) "Anamwijia mmoja wenu shetani katika sala, basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi yule mtu inamwijia fikiria ya kuwa umemtoka upepo (kajamba) nae haukumtoka, basi akiona hali hiyo asiondoke kwenye sala mpaka asikie sauti ya kumtoka huo upepo au anuse harufu yake". (KITABU CHA MKWELI MWAMIU, JUZUU YA 1 -2 HADITHI NA. 74, UK 42)

Sasa hiyo adha ya kupulizwa matako na shetani kwa kila unaposali nani anaitaka? Yaani kila ukienda kusali basi shetani yeye yupo matakoni tu, najiuliza hivi shetani ambaye ni muislamu hakuona sehemu nyingine mpaka akomae na matako tu? Kina mama Wa Kiislamu zindukeni, maana Wanaume wao wameshazoea, ndiyo maana hawataki ninyi mwende msikitini ili mpulizwe pamoja nao, hivyo sisi Waristo tunaojitambua, kwa tendo hilo la kupulizwa matakoni na shetani hatuutaki uislamu.

Kumbe! aisee, mimi huwa najiuliza kwa nini Quran inazungumzia kujifanyia usafi makalioni muda wote,hadith hivyo hivyo,najiuliza kwa nini ni makalio tu kumbe ni Devil's playground. Imekuaje sasa Allah akaruhusu shetani achezee makalio ya wafuasi wake mkuu?
 
Kumbe! aisee, mimi huwa najiuliza kwa nini Quran inazungumzia kujifanyia usafi makalioni muda wote,hadith hivyo hivyo,najiuliza kwa nini ni makalio tu kumbe ni Devil's playground. Imekuaje sasa Allah akaruhusu shetani achezee makalio ya wafuasi wake mkuu?

Yaani hata mi hii Kitu ndo naijua Leo. Aisee.
 
Mi nisie na elimu lkn bado natumia maji nikienda choo.
We msomi wa BIBILIA mpaka leo 2015 unachambia gazeti NA Kuabudu picha ya kununua Dukani.
Sasa sijui mjinga nani hapa.

Em nambie na JIWE kazi yake ninini hasa unapokuwa chooni.
 
Em nambie na JIWE kazi yake ninini hasa unapokuwa chooni.

Cha ajabu ni kwamba Quran 4:43 inaruhusu mtu kujitawazia jiwe au gunzi la mahindi au mchanga pale maji yanapokosekana. Nilikua Sijawahi kupata jibu kwa nini Allah anataka makalio yawe masafi muda wote, Mkuu Ishmael ameweka sawa niimeelewa leo. Ni hatari mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Cha ajabu ni kwamba Quran 4:43 inaruhusu mtu kujitawazia jiwe au gunzi la mahindi au mchanga pale maji yanapokosekana. Nilikua Sijawahi kupata jibu kwa nini Allah anataka makalio yawe masafi muda wote, Mkuu Ishmael ameweka sawa niimeelewa leo. Ni hatari mkuu.

Anataka watu wachubuke mi.k.*n*u yao. Hajui zile sehemu ni laini na sensitive.
kahtaan, hii haiitaji common sense ili kuweza kuelewa kuwa hii dini ya jangwani INA mushkeli.

Pia anakosoa magazeti wakati wao wanatumia mchanga.
Ha ha ha ha ha.
 
Last edited by a moderator:
mm naina tusibishane saaana na makafiri em nyie lianzishen tu kama mnaona uislam unawakera then u will see how the fire is burning
 
Hivi jografia ya naijeria ipoje hadi wanashindwa kabisa kuwafuagia hawa jamaa hadi wanateka na kukalia vijiji?
 
mm naina tusibishane saaana na makafiri em nyie lianzishen tu kama mnaona uislam unawakera then u will see how the fire is burning

We acha utani. Nyie mtapotea kwenye uso wa dunia mapema sana. Yaani sana. Nyie mmebakia maneno. Maarifa yote yapo huku.

Kitu kimoja hamjui na hata mkijua hamwelewi ni kwamba. Mungu wetu hasaidiwi kufanya vita na wanadamu.
Huwezi mpigania mungu wetu. Mungu wetu anaweza yeye kujipigania.
Mungu wetu ni mkuu sana na hana ubaguzi. Anapenda watu wote, wale wanaomwamini na wasio mwamini.
Mungu wetu ana bifu na majini plus aina zooote za mashetani unazozijua.

Kumuumiza mwanadamu mwenzako aliyeumbwa kwa sura na mfanobwa mungu ni dhambi.huwezi mchinja mwanadamu halafu ukategemea Mungu Afurahaie. Huyo atakaye furahi ni shetani tu.

Ukilijua hili utagundua hata sphere yako ya kuwaza haifanani na ile Mkristo anapaswa kuwaza.
 
Hivi jografia ya naijeria ipoje hadi wanashindwa kabisa kuwafuagia hawa jamaa hadi wanateka na kukalia vijiji?

Hii ni Cancer mkuu. Haimaliziki kirahisi hivyo.

Kwakifupi wanashea sympathy na wenzao ambao hawajaingia kwenye hatakati zao.
Si umesikia wale mabinti waliopatikana zaidi ya robotatu wamekutwa wamebebeshwa ujauzito?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom