ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,605
- 2,729
Wakuu naona kila mtu ana swali lake ambalo haliwezi kupata majibu lakini tujiulize kama Rais anaendelea kupuuza matakwa ya katiba, sheria na mihimili mingine kama BUNGE na MAHAKAMA mnadhani nini kitatoea mbeleni? Ndege ananunua Bunge halijui, treini ananunua Bunge halina taarifa mala vivuko mala Meli ivi kodi zetu nani anazisimamia? View attachment 806183