Body nzuri za magari zinapatikana wapi kwa Dar?

Body nzuri za magari zinapatikana wapi kwa Dar?

Frank jb

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2014
Posts
418
Reaction score
122
Habari zenu wapendwa,

Ninaomba mnijulishe ni sehemu gani hapa Dar ama hata nje ya Dar ambako kunauzwa bodi nzuri za Magari? Maana yangu nanunua bodi ya gari halafu Mimi naweka injini pamoja na gear box na vitu vidogo vidogo. Naomba kujulishwa mahali zilipo kwa gharama nafuu.

Namba yangu ni 0716 00 23 23
 
Nenda tandale kwenye chinjachinja mkuu
Kuna magari yapo yanakatwa utapata body
 
Frank jb

Kama ni gari ndogo salon car tandale sawa, kama ni gari za biashara basi Temeke sawa. Ila ungepata mtu alieko kampuni ya bima ingekua zaidi
 
Last edited by a moderator:
Frank jb

Kama ni gari ndogo salon car tandale sawa, kama ni gari za biashara basi Temeke sawa. Ila ungepata mtu alieko kampuni ya bima ingekua zaidi
Asante mpendwa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom