locust60
Senior Member
- Oct 1, 2008
- 101
- 12
Waweza dhani wanapendana kumbe hakuna kitu hapo,,,!
Kidizaini Jk kama anamuogopa Mbowe:first:
halafu mkuu katavi yaelekea we una maisha marefu sana mana wapenda sana kucheka.ahahahahaaaaaaah!!!!
Jk amempa fm updown hand(sign of oppression), fm amejitahidi ku-neutralize kwa double handler bila mafanikio, so jk ame-maintain supirior position.
Halafu JK kama anataka kuchomoa huo mkono apotee, si unaona hata bega lake la kulia lilivyokaa, halafu tabasamu la JK kama la kujilazimisha hivi...Kidizaini Jk kama anamuogopa Mbowe:first:
Kidizaini Jk kama anamuogopa Mbowe:first:
Kidizaini Jk kama anamuogopa Mbowe:first: