Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
f.u.c.k you!
kwa nini umemtukana jamaa? andika tu hata mistari michache ya kujitetea
f.u.c.k you!
HII YETU SIO sIO MEDICAL TOURISM LABDA TUIITE SPIRITUAL/HERBAL HEALING TOURISM
bila kubishana sananope..this is pure medical tourism
Bila kuingilia suala la imani hapa nadhani TTB wamekosea... unless waseme kwamba babu amekua mmoja ya vivutio vya ngorongoro kutokana na uwezo wa kukusanya watu wanaokwenda kupata tiba ya mizizi na maombezi
Wakiitangaza vibaya tu, basi babu atakua kwenye kundi moja na swala, nyumbu na vifaru wa Serengeti
Very tricky indeed
bila kubishana sana
Nenda kwenye thread zote zinazotetea babu zinatumia hoja ya imani na sio medical
Anyway labda uko sahihi ingawa watu wea medical watakuja kukusaidia.... TAFUTA KIJARIDA KINAITWA "POWER OF PLACEBO"
bila kubishana sana
Nenda kwenye thread zote zinazotetea babu zinatumia hoja ya imani na sio medical
Anyway labda uko sahihi ingawa watu wea medical watakuja kukusaidia.... TAFUTA KIJARIDA KINAITWA "POWER OF PLACEBO"
Huna haja ya kutoa povu na kuchapiachapiahii ni medical tourism kwa sababu all medical turism zote zina masharti yake,kwa hiyo haa ho watalii aao watakuwa inerestd kenda kwa b watamiwa mshartiya awa ya babu .so sijui ha unachopinga au unazunguka nini
Mkuu hata kama watakuja kutibiwa
Hawa watu watakaa katika mahotel yetu
Watatumia migahawa yetu ya aina mbalimbali
Tanzania itajulikana sana
Na pesa za kigeni zitaingia bac hapo sekta ya utalii inajipatia kipato na inakua,
Twende kazi!
Huna haja ya kutoa povu na kuchapiachapia
Medical tourism in guidelines zake na pia kuna accreditation ya care inayotoka...
Lakini uko sahihi mkuu, babu kawa accredited, na clinical care yake iko documented na pia waweza kupata stats za kila kitu chakeoa
Kumbuka hata ile tiba ya kutumia placenta ya farasi kule eastern europe haikuitwa medical tourism
Ila kwa wewe naomba nikipunguzie povu tu "YOU ARE VERY RIGHT:doh:
yani hapa bodi ilikutana kwa dharura na maazimio yaliyofikiwa ndio hayo!teh teh teh bodi ya utalii kuna vichwa!
Pamoja mkuuim so sorry my friend ujue keyboard yangu ni wireless so ilikuwa inakatakata yenyewe bila mimi mwenyewe kujua coz nilikuwa nimekaa distance kubwa kidogo.sos sorry for that
nope..this is pure medical tourism
Yale matope, barabara mbaya na wanaofia njiani labda ndio vivutio vyenyewe wanavyotaka tuonyesha wazunguWatengeneze infrastructure kwanza ili kuvutia hao watalii
HII YETU SIO sIO MEDICAL TOURISM LABDA TUIITE SPIRITUAL/HERBAL HEALING TOURISM