beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Prof. Ninatubu Mbora Lema kuanzia Desemba 05, 2018
Lakini pia Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ametengua uteuzi wa Wajumbe kadhaa wa Bodi kuanzia Desemba 09, 2018 ili kuunda Bodi mpya
Wajumbe waliotengulia katika nafasi zao ni Mhandisi Leonard Kapongo, Wakili Mussa Mbura na Mhandisi Rogatus H. Mativila
Aidha, Wajumbe Dkt. Fredrick Mwakibinga na Jane O. Lyimo muda wao wa uteuzi uliisha kabla ya kutenguliwa kwa Bodi hiyo
Lakini pia Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano ametengua uteuzi wa Wajumbe kadhaa wa Bodi kuanzia Desemba 09, 2018 ili kuunda Bodi mpya
Wajumbe waliotengulia katika nafasi zao ni Mhandisi Leonard Kapongo, Wakili Mussa Mbura na Mhandisi Rogatus H. Mativila
Aidha, Wajumbe Dkt. Fredrick Mwakibinga na Jane O. Lyimo muda wao wa uteuzi uliisha kabla ya kutenguliwa kwa Bodi hiyo