watu mliopewa dhamana ya kuongoza na kusimamia mkopo hivi ni kipi kinafanya mpaka leo tangu october mpaka leo wanafunzi wapatao mi4 walikuwa wanapata mkopo ila mpaka sasa hawajapata bodi wamekuja mala nyingi mnawapiga viswahili haya juzi bodi mmechambua hayo majina nakupata majina 215 ambayo mnasema ndiyo yanastahili kulipwa kama mmejua kwanini mtume majina pasipo pesa yao mnataka hwa vijana wandamane wafe ili tume iundwe au wafe na njaa acheni utani na maisha ya watu wapeni pesa zao vijana wasome wengine mkopo ndiyo baba mama mjomba shangazi jamani nini mnafanya