Bodi ya mkopo itatoa lini majina ya waliokosea form?

Bodi ya mkopo itatoa lini majina ya waliokosea form?

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,180
Majina ya waliokosea kujaza form za mkopo yametoka? Au maana hatuewelei tumepaniki huku jamani hatujui hatima yetu.
 
Kama hujakosea umefanya kadiri ya uwezo wako inakuaje uwe uNamiheMukO mfululizo!???
 
Hayawi Hayawi majina ya waliokosea kujaza form za mkopo yametoka? Au maana hatuewelei tumepaniki huku jaman hatuji hatima yetu
82cc13c9fc08114fb3ef002450fcd4ec.jpg
 
Inavyoelekea mwaka huu ni kama msemo usemao "kuvuja kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi", ndo imeshakula kwako! Mbaya sana!
 
Back
Top Bottom