Nadhani unachanganya majukum ya bodi na waajiri waliopo. Nijuacho, bodi kazi yao kubwa ni kupitia mishahara ya watumishi wote, kwa kuzingatia sifa zao na kutoa mapendekezo ya mishahara ili isitofautiane kisa idara za kazi.
Bado wanafanyia kazi miundo ya mishahara, hawajamaliza