Bodi ya mikopo yakamilisha uchambuzi wa maombi ya mikopo, 20,183 wapata kati ya 88,163 walioomba

Wanafunzi waliodahiliwa ni elfu 58 iweje wewe uandike waliomba mkopo ni elfu 88

Hivi unafiki mtaacha lini nyinyi chadema??
 
Mbona Ndalichako alisema ni wanafunzi 55,000 waliomba mkopo? Kwahiyo Bodi inadanganya au Ndalichako ndio alitudanganya?
 
Wanafunzi waliodahiliwa ni elfu 58 iweje wewe uandike waliomba mkopo ni elfu 88

Hivi unafiki mtaacha lini nyinyi chadema??
we jamaa acha ushamba unadhani hlo tangazo kajitungia ingia website ya HESLB utalikuta usikae unaandika pumba!!
 
Mbona Ndalichako alisema ni wanafunzi 55,000 waliomba mkopo? Kwahiyo Bodi inadanganya au Ndalichako ndio alitudanganya?
Ndalichako ndio aliokusudia kuudanganya umma tena mbele ya rais kwa kuwa maamuzi yanatoka juu hakuna litakaloharibika rejea ishu ya WANAFUNZI wa udom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…