Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa awamu ya kwanza.

Fibonacci

JF-Expert Member
Mar 3, 2013
374
204
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa awamu ya kwanza ya majina ya wanafunzi 25,532 waliopewa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/19. Mkopo huo una thamani ya TZS Bilioni 88.36 ambapo wanafunzi wa kiume waliopewa ni 16,085 na wanafunzi wa wakike ni 9,447.

1539784284602.png


Source: Swahili TImes
 
Back
Top Bottom