Fibonacci
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 374
- 204
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa awamu ya kwanza ya majina ya wanafunzi 25,532 waliopewa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/19. Mkopo huo una thamani ya TZS Bilioni 88.36 ambapo wanafunzi wa kiume waliopewa ni 16,085 na wanafunzi wa wakike ni 9,447.
Source: Swahili TImes
Source: Swahili TImes