UDSM home of wanoko. Ukienda kusoma pale master au PhD ndiyo utajua unoko wao.Daaaah wadau imekaaje hii naona bodi ya mikopo ipo kimya wakati UDSM (Home of Vipanga) na SUA wazee wa Screen test (Hard science) wanafungua wiki hii na wiki ijayo respectively. Au gvt bado inahakiki? Hatuwaelewi ukimya wao?
UDSM ingekuwa ni home of vipanga basi hata kwenye rank ya vuo bora duniani ingeonekana lkn mmebaki kujifariji tu.Hakuna kitu pale bali mbwembwe.Daaaah wadau imekaaje hii naona bodi ya mikopo ipo kimya wakati UDSM (Home of Vipanga) na SUA wazee wa Screen test (Hard science) wanafungua wiki hii na wiki ijayo respectively. Au gvt bado inahakiki? Hatuwaelewi ukimya wao?
back to topic,you are out of topic,keep calm na endlea na topic achana na masuala ya uvipanga hayo maneno tu mkuu hayana kitu so huwa yanakuepo tuu isikupe shida kutumia jazba katika suala hilo.hii ndo tz bhanaUDSM ingekuwa ni home of vipanga basi hata kwenye rank ya vuo bora duniani ingeonekana lkn mmebaki kujifariji tu.Hakuna kitu pale bali mbwembwe.
Na inakuwaje form haina makosa kabisa na wala jina lako halikuwa kwenye ile list lakini unaambiwa " did not apply for higher education students loans board 2016/2017"wanaJF msiwaze sana kuhusu hilo swala coz ukiingia olas.heslb.go.tz utapata ujumbe unaokwambia kwamba haukuomba mkopo kwa mwaka 2016/2017 but ukiingia kwenye hiyo hiyo site then uka click sehem wamekuambia wanaotakiwa kurekebisha taarifa muhimu jaza kwa usahihi kama s then school no then namb yako then mwaka wa kumaliza....... kukiwa na error kwenye form yako ya mkopo utaambiwa kwa mfano no gurrente ID na kama hakuna makosa utapata huu ujumbe
Fomu zenye Matatizo.
Enter your Form Four index Number Below.
Form Four Index No:
? ? ? ?
School Name : MOSHI TECHNICAL [ S0135 ]
Full Name : PATRICK, ALFRED D
Your Loan Application form is Complete, No Ploblems were found.
mpaka hapo utajua kwamba umeomba mkopo kwa usahihi na kilichobaki unasubiria tu umepewa asilimia ngapi......................AHSANTENIII.....
Nnajua mliochaguliwa vyuo vya kikanjanja lazima povu lifuke. Mnapelekwa kusoma mmekalia kuchati tuuu face inst jamii forums ndo matokeo yake mnapelekwa huko kwenye vyuo vyenu vya pre entrysi ule ukipanga wako
wanaJF msiwaze sana kuhusu hilo swala coz ukiingia olas.heslb.go.tz utapata ujumbe unaokwambia kwamba haukuomba mkopo kwa mwaka 2016/2017 but ukiingia kwenye hiyo hiyo site then uka click sehem wamekuambia wanaotakiwa kurekebisha taarifa muhimu jaza kwa usahihi kama s then school no then namb yako then mwaka wa kumaliza....... kukiwa na error kwenye form yako ya mkopo utaambiwa kwa mfano no gurrente ID na kama hakuna makosa utapata huu ujumbe
Fomu zenye Matatizo.
Enter your Form Four index Number Below.
Form Four Index No:
? ? ? ?
School Name : MOSHI TECHNICAL [ S0135 ]
Full Name : PATRICK, ALFRED D
Your Loan Application form is Complete, No Ploblems were found.
mpaka hapo utajua kwamba umeomba mkopo kwa usahihi na kilichobaki unasubiria tu umepewa asilimia ngapi......................AHSANTENIII.....
Ongo sana wewewanaJF msiwaze sana kuhusu hilo swala coz ukiingia olas.heslb.go.tz utapata ujumbe unaokwambia kwamba haukuomba mkopo kwa mwaka 2016/2017 but ukiingia kwenye hiyo hiyo site then uka click sehem wamekuambia wanaotakiwa kurekebisha taarifa muhimu jaza kwa usahihi kama s then school no then namb yako then mwaka wa kumaliza....... kukiwa na error kwenye form yako ya mkopo utaambiwa kwa mfano no gurrente ID na kama hakuna makosa utapata huu ujumbe
Fomu zenye Matatizo.
Enter your Form Four index Number Below.
Form Four Index No:
? ? ? ?
School Name : MOSHI TECHNICAL [ S0135 ]
Full Name : PATRICK, ALFRED D
Your Loan Application form is Complete, No Ploblems were found.
mpaka hapo utajua kwamba umeomba mkopo kwa usahihi na kilichobaki unasubiria tu umepewa asilimia ngapi......................AHSANTENIII.....
Wakati unawaponda waliochaguliwa vyuo unavyoviita vya ukanjanja usisahau kuwa juhudi pekee ndio itakayokutoa kwenye SUP na siyo jina wala ukubwa wa chuo kama akili yako unavyokutuma kuwaza.Unadai wengine wako kwenye insta na JF afu unasahau kuwa Na ww ni mwanachama hai wa JF.sijui umewezaje kuchangia hoja kama hujaingia mtandaoni.Acha majivuno kijana.Juhudi yako pekee ndiyo itakufanya ufaulu Na katu si ukubwa au udogo wa chuo.Nnajua mliochaguliwa vyuo vya kikanjanja lazima povu lifuke. Mnapelekwa kusoma mmekalia kuchati tuuu face inst jamii forums ndo matokeo yake mnapelekwa huko kwenye vyuo vyenu vya pre entry
Mikopo inatolewa Mara baada ya kuwasili chuo tena unaeza kaa chuo hata wiki mbili ndo mkopo utoke ,,,wakat huo ushalipa nusu ya ada ya chuo wakat unasubir mkopo,,, hii ndo TzDaaaah wadau imekaaje hii naona bodi ya mikopo ipo kimya wakati UDSM (Home of Vipanga) na SUA wazee wa Screen test (Hard science) wanafungua wiki hii na wiki ijayo respectively. Au gvt bado inahakiki? Hatuwaelewi ukimya wao?