ngopyolo
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 1,940
- 1,521
mpaka arudi tutabaki mifupa tuuImeshakuwa dhahama hii, hakuna namna, mpaka Yesu arudi
mpaka arudi tutabaki mifupa tuuImeshakuwa dhahama hii, hakuna namna, mpaka Yesu arudi
Wewe jee!????Tanzania ina wajinga wengi sana, tunashinda kulalamika mitandaoni tuu. NENDA MAHAKAMANI WEWE, KUWA KAMA MTIKILA (RIP).
Duuu hingera mkuu wengine tulikuwa hatukatwi na hatimae tumenaswa mwaka huu hadi liishe hilo deni ndani yake kuna penalty,Mungu tu ndo anajuaJanuary hawajanikata 15%. Mi kwangu yote hewala. Wakinikata 15%, June namalizana nao HESLB. Wakiendelea kukata 8% December au January 2018 namalizana nao!
Acha Maneno, Lipa MKOPO (in Darassa's voice). Ulikopa kusoma BA in Kiswahili what do you expect?
Mapato yanatafutwa kwa nguvu hadi yanakuwa na harufu mbaya.Blaza, wahanga tupo wengi sana. Mimi mshahara wangu jumla nakatwa 51%.
Cjui kama ni rahisi, kushindana na maamuzi ya RAISI
Viroba hiv ni shida tupu. Ona huyu alivyokunya humuAcha Maneno, Lipa MKOPO (in Darassa's voice). Ulikopa kusoma BA in Kiswahili what do you expect?
Mwezi January mi nilikatwa 15%Mshahara wa jan ulikatwa hiyo %? Kuna wengine hawakukatwa ila nafikiri mwezi huu lazima waface the devil...
Hakika hapo umenena.Mkataba ni kila kitu hivyo wakitaka kuvunja mkataba wakae na wakopaji sio wabunge nje na hapo wadau tupo tayari kwenda kupinga mahakamani
wewe unaongea nini? watu wanakatwa hii live hapa ofisinihapana 15% izo story tu hakuna mtu kukatwa
achana nao hao hawana mkopo hawalijui hilowewe unaongea nini? watu wanakatwa hii live hapa ofisini