Bodi ya mikopo kuhusu Continuing Stedents na First year ambao hawakupata mkopo.

MsamiKowalski

JF-Expert Member
Nov 9, 2015
285
53
attachment.php

BW Hamis Chagonja.

Zaidi ya wanafunzi 52,000 wa mwaka wa kwanza watanufaika na mkopo wa elimu ya juu baada ya serikali kuongeza kiasi cha fedha sh 132 bilioni kwaajili ya kugharamia masomo yao ya mwaka wa masomo 2015/2016.

Akizungumza na gazeti la MWANANCHI, kaimu mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu(HESLB), Bw Hamis Chagonja alisema bajeti ya sh 341 bilioni ilikua imepangwa kwaajili ya wanafunzi 14,226 wa mwaka wa kwanza.

Hata hivyo, alisema serikali imeongeza fedha hizo hadi kufikia sh 473 bilioni ambazo zinatosha kuwalipa wanafunzi 52,000. Alisema ongezeko hilo litawezasha wanafunzi wengine 37,774 ambao hawakuwapo kwenye bajeti kudhaminiwa na bodi ya mikopo mwaka huu.

"Kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo ambao ni 71,125 hatuna shida nao sana, wao wataweza kupata fedha hizo. Changamoto ilikuwa kwa hawa mwaka wa kwanza,lakini sasa tumepata fedha za kuwalipa" alisema Bw Hamisi Chagonja.

Chanzo: Gazeti la Mwananchi 8/12/2015.
 

Attachments

  • CHAGONJA.jpg
    CHAGONJA.jpg
    14.6 KB · Views: 1,236
Nadhani 71,125 sio continuing walioomba mkopo, hawa ni wale wanufaika ambao tayari wamekuwa allocated tangu miaka ya nyuma.
Mwenye taarifa ya continuing walioomba mkopo (waliokosa mwaka jana na kuomba tena mwaka huu) atujuze tafadhali
 
Mie nilivyo ni kwamba wanachuo wite wa mwaka wa kwanza watalupiwa mkopo bubila kujali vigezo.uwe umemaliza mwaka 47elfu yaan miaka mitatu nyuma utapata mkopo.naomba watuwaishie huo mkopo ili tusajiriwe mapema.pia namshukuru makufuri kwa kuliona hilo.mungu ambaliki make ningeshindwa kusoma
 
Mie nilivyo ni kwamba wanachuo wite wa mwaka wa kwanza watalupiwa mkopo bubila kujali vigezo.uwe umemaliza mwaka 47elfu yaan miaka mitatu nyuma utapata mkopo.naomba watuwaishie huo mkopo ili tusajiriwe mapema.pia namshukuru makufuri kwa kuliona hilo.mungu ambaliki make ningeshindwa kusoma

Haaa ko ndo unajifunza kutumia smartphone? maana unachapia kwel
 
miaka yote inayoendelea fanyen kwel sasa wte wapate mikopo bla kujal koz wanazosoma
 
Habari zenu wakubwa
Kuna baadhi ya wanufunz wa special diploma tulioomba mkopo hapa chuon lakin tukiangalia majina tunakuta hatujapewa mkopo kwamba ndo tumekosa au bado lots zinaendelea kutoka tufahamishen jaman watu tumechanganyikiwa
 
Mie nilivyo ni kwamba wanachuo wite wa mwaka wa kwanza watalupiwa mkopo bubila kujali vigezo.uwe umemaliza mwaka 47elfu yaan miaka mitatu nyuma utapata mkopo.naomba watuwaishie huo mkopo ili tusajiriwe mapema.pia namshukuru makufuri kwa kuliona hilo.mungu ambaliki make ningeshindwa kusoma

Daaa kwa uandishi huu sister, unaandika kama sio mwanachuo bwana!!.Jitahidi kuandika vizuri otherwise utachezea kodi zetu.
 
wakuu naomba niangalizieni s1533.0020.2006 loan kama kapata coz nipo nje ya mji na 4n yangu niki log in inagoma, pls naombeni msaada kwa hilo.
 
Back
Top Bottom