Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu mtendeeni haki huyu dogo

sepema

JF-Expert Member
Jun 13, 2019
591
1,000
Salaam Wana jukwaa.

Naomba niende moja kwa moja kwenye dukuduku langu. Mdogo wangu alibahatika kuchaguliwa kusoma shahada ya kwanza katika moja ya campus za chuo kikuu Cha Dar es salaam(UDSM), na kufanikiwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

Kijana huyu alipata changamoto ya ugonjwa ambapo ilibidi asimamishe kuendelea na masomo ili akapatiwe matibabu,na kwa uwezo wa Mungu alipata nafuu ambapo alirudi chuoni kuendelea na masomo mwezi Machi mwaka huu.

Tangu arudi chuoni danadana zimekuwa nyingi sana kuhusiana nakurudishwa Kwenye system ya mkopo. Dogo anatoka familia duni hivyo tangu mwezi Machi anatunzwa na wanachuo wenzake ambao nao wanatengemea boom.

Ombi langu kwa bodi, jitahidini kufanyia kazi changamoto za huyu/Hawa vijana kwani wengi wao hawana chaguo lingine.
 
Mchukue huyo dogo nendeni ofisi za board mbona jambo jepesi hilo mkuu,Kuna mambo si lazima kufungua uzi JF

Mpe pole MgoNjWa.
Shukrani mkuu.Naamin kun ushaur na msaada naweza kuupata hapa kuliko mahali pengine(ikiwemo huu wakwako)
 
Loa
Salaam Wana jukwaa.

Naomba niende moja kwa moja kwenye dukuduku langu. Mdogo wangu alibahatika kuchaguliwa kusoma shahada ya kwanza katika moja ya campus za chuo kikuu Cha Dar es salaam(UDSM), na kufanikiwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

Kijana huyu alipata changamoto ya ugonjwa ambapo ilibidi asimamishe kuendelea na masomo ili akapatiwe matibabu,na kwa uwezo wa Mungu alipata nafuu ambapo alirudi chuoni kuendelea na masomo mwezi Machi mwaka huu.

Tangu arudi chuoni danadana zimekuwa nyingi sana kuhusiana nakurudishwa Kwenye system ya mkopo. Dogo anatoka familia duni hivyo tangu mwezi Machi anatunzwa na wanachuo wenzake ambao nao wanatengemea boom.

Ombi langu kwa bodi, jitahidini kufanyia kazi changamoto za huyu/Hawa vijana kwani wengi wao hawana chaguo lingine.
Loan board wanapokea malalamiko JF? Nachelea kuwaita wewe na huyo dogo kuwa Ni mazoba
 
Salaam Wana jukwaa.

Naomba niende moja kwa moja kwenye dukuduku langu. Mdogo wangu alibahatika kuchaguliwa kusoma shahada ya kwanza katika moja ya campus za chuo kikuu Cha Dar es salaam(UDSM), na kufanikiwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

Kijana huyu alipata changamoto ya ugonjwa ambapo ilibidi asimamishe kuendelea na masomo ili akapatiwe matibabu,na kwa uwezo wa Mungu alipata nafuu ambapo alirudi chuoni kuendelea na masomo mwezi Machi mwaka huu.

Tangu arudi chuoni danadana zimekuwa nyingi sana kuhusiana nakurudishwa Kwenye system ya mkopo. Dogo anatoka familia duni hivyo tangu mwezi Machi anatunzwa na wanachuo wenzake ambao nao wanatengemea boom.

Ombi langu kwa bodi, jitahidini kufanyia kazi changamoto za huyu/Hawa vijana kwani wengi wao hawana chaguo lingine.
Kama alisimamisha masomo kwa kufuata utaratibu kutoka kwa Loan officer shida kama hii haiwezi kutokea

Ila kama aliacha from No where Bila taarifa Hayo ndio matokeo yake

Sema ukweli alipata barua kutoka department kwenda kwa loan officer???

Jibu hilo swali alafu nijue nakusaidia vipi.
 
Sina lengo baya ila Uko ofisini unapo ambiwa uende usi sahau kwenda umekula kingine weka kwenye hotpot kabsa maana uta kalia zile benchi na majibu utapewa mepesi sanaaaa tena na walinzii wana kera mbwa waleee
 
Jamaa huwa wanajibu km wanamjibu mkimbizi,Ila cheo ni dhamana
Daah!
Umenikumbusha mkurugenzi wa wakati ule pale nafikiri alikua anaitwa Nyatega,yani alikuwa amenenepea kama kitimoto,yule mzee anapotoka nje kuna mtu anamtangulia kazi yake kumfungulia milango utadhani yeye ni mlemavu!
Pale mahali panakwaza sana.
 
Daah!
Umenikumbusha mkurugenzi wa wakati ule pale nafikiri alikua anaitwa Nyatega,yani alikuwa amenenepea kama kitimoto,yule mzee anapotoka nje kuna mtu anamtangulia kazi yake kumfungulia milango utadhani yeye ni mlemavu!
Pale mahali panakwaza sana.
Duh!! Namkumbuka,
watu wanachangia kimasihara,.
Hamjui watu Hawa, baadhi ya watumishi wa board ya mkopo wanamajibu ya kukatisha tamaa na huruma hawana
 
Sina lengo baya ila Uko ofisini unapo ambiwa uende usi sahau kwenda umekula kingine weka kwenye hotpot kabsa maana uta kalia zile benchi na majibu utapewa mepesi sanaaaa tena na walinzii wana kera mbwa waleee
Hiyo ni kila mahali mkuu.

Ukishakuwa na matatizo basi inakupasa kuwa mvumilivu.

Na ndio maana huwa wengine hatuoni umuhimu wa hawa wanaitwa watumishi kuongezewa mishahara maana hakuna kitu wanafanya aisee.
 
Salaam Wana jukwaa.

Naomba niende moja kwa moja kwenye dukuduku langu. Mdogo wangu alibahatika kuchaguliwa kusoma shahada ya kwanza katika moja ya campus za chuo kikuu Cha Dar es salaam(UDSM), na kufanikiwa kupata mkopo kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

Kijana huyu alipata changamoto ya ugonjwa ambapo ilibidi asimamishe kuendelea na masomo ili akapatiwe matibabu,na kwa uwezo wa Mungu alipata nafuu ambapo alirudi chuoni kuendelea na masomo mwezi Machi mwaka huu.

Tangu arudi chuoni danadana zimekuwa nyingi sana kuhusiana nakurudishwa Kwenye system ya mkopo. Dogo anatoka familia duni hivyo tangu mwezi Machi anatunzwa na wanachuo wenzake ambao nao wanatengemea boom.

Ombi langu kwa bodi, jitahidini kufanyia kazi changamoto za huyu/Hawa vijana kwani wengi wao hawana chaguo lingine.
Tunaomba jina lake kamili, course anayosoma na index number ya kidato cha 4.
Humu JF serikali imo.
 
Back
Top Bottom