Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

wagagagigi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2014
Posts
890
Reaction score
986
Habari ilopo ni kwamba Tanzania wamenyimwa msaada wa MCC kwa sababu ya suala la Uchaguzi wa Zanzibar pamoja na cyber crime legislation.

========================

Hii ndiyo statement ya The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors!

For Immediate Release
December 17, 2015

Renee Kelly
202-521-3880

The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors held its quarterly meeting on Dec. 16, 2015. The Board approved three countries as eligible for compacts and two countries as eligible for threshold programs. Three of the five countries are new partners for MCC and all have worked hard to improve their performance on MCC?s scorecard, which measures countries? commitment to ruling justly, economic freedom, and investing in their people.

The Board selected Cote d'Ivoire, Kosovo and Senegal as newly eligible for compacts. Cote d'Ivoire, which was selected in December 2014 for a threshold program, will now transition into the compact program after showing continued improvement on its scorecard and achieving greater political stability. Kosovo, which passed MCC's scorecard for the first time after making progress on democratic rights, is a new partner for MCC. Senegal successfully completed its first MCC compact in September and demonstrated improved scorecard performance over the life of the partnership.

In both Senegal and Cote d'Ivoire, the Board recommended that MCC explore potential investments that address regional obstacles to economic growth, in addition to domestic investments, while recognizing the need for statutory authority to optimize regional impact.

The Board also selected Togo and Sri Lanka to develop MCC threshold programs. Togo has shown a clear upward trajectory on overall scorecard performance over the past few years. Sri Lanka has embarked on a remarkable effort over the past year to reinvigorate its democratic institutions, improve governance, and restore protection of human rights.

Nepal, Niger and the Philippines were reselected by the Board to continue developing their compacts. The Board reselects all countries in compact development as part of the annual selection process. The Board deferred a vote on the reselection of Tanzania and Lesotho for compact eligibility until relevant governance concerns in both countries have been addressed.

Finally, the Board reaffirmed its commitment to developing a compact with Mongolia and its support for a strategic partnership with India to advance economic growth and poverty reduction in South Asia.
 
Duh, madhara ya kuwa tegemezi ndo haya,tangu tuikwepe siasa ya ujamaa na kujitegemea hali umekuwa ya kuwapa wakubwa gold nakusbiri misaada
 
Mi naona hawa huwa wana sababu zao za kutotoa msaada. Siwezi amini eti hiyo ndo sababu. Kwani wao sera zao za mambo ya nje zina hata chembe ya demokrasia?
 
A blessing by disguise, tukusanye kodi zetu wenyewe ili nasi siku moja tuwe donner country.

Ni kweli mkuu!

Hatua ya kwanza tuwashukuru wazungu kutunyima pesa yao.

Pia tumshukuru Mungu kutupatia raisi asiye chekea wakwepa kodi na wala rushwa na wazembe.

Tukatae roho ya utegemezi na kutokujiamini. Tunaweza x 1,000,000,000 kujitegemea na kuendelea kama taifa bila kutegemea wazungu!
 
Hakika wazungu hawa watatudhalilisha sana. Nyerere alisema kweli kwamba mnaweza kuachana na Ujamaa lakini hamtaweza kuachana na Kujitegemea. Nikigombea urais mwaka 2025 kauli mbiu angu itakuwa "Hapa Kujitegemea Tu"
 
Kwa hiyo kwako ww na wengine wenye cariba yako mnaona ni sawa kwa ubakaji wa demokrasia unaoendelea zanzibar na udikteta wa sheria ya mtandao?

Kama ilivyokua suala la Escrow ni sawa maana hapa hela ilikuwa inaliwa wakati wao wanatoa za kwao. Lakini hapa hili ni suala la nchi binafsi na halina uhusiano wowote na pesa zao.
 
Kwa hiyo kwako ww na wengine wenye cariba yako mnaona ni sawa kwa ubakaji wa demokrasia unaoendelea zanzibar na udikteta wa sheria ya mtandao?

Washabikie tu iko siku watakwambia ili upate hiyo hela yako ukubali watu wafanye ngono na mbwa uoe mwanamme na ndoa za waume kwa wake marufuku usipokubal hawakupi misaada ndo unajua yesu yu mlangon
 
Ni kweli mkuu!

Hatua ya kwanza tuwashukuru wazungu kutunyima pesa yao.

Pia tumshukuru Mungu kutupatia raisi asiye chekea wakwepa kodi na wala rushwa na wazembe.

Tukatae roho ya utegemezi na kutokujiamini. Tunaweza x 1,000,000,000 kujitegemea na kuendelea kama taifa bila kutegemea wazungu!

Siku nchi hii itakapovunjika amani kama Burundi sababu ya masuala ya uchaguzi,tukaanza kuuana ndio mtajua kwanin wanatunyima msaada!Wakiendelea kutupa misaada huku demokrasia ikiendelea kubakwa siku yakitokea yakutokea tutaanza kuulizana walikuwa wapi kufumbia m?cho viashiria vya uvunjifu wa amani ambapo kwa wingi Africa imeonekana kuwa ni ubakaji wa demokrasia!
Hakika tusipojirekebisha,ipo siku tutawakumbuka kwa kutuonya mara kwa mara!
 
Washabikie tu iko siku watakwambia ili upate hiyo hela yako ukubali watu wafanye ngono na mbwa uoe mwanamme na ndoa za waume kwa wake marufuku usipokubal hawakupi misaada ndo unajua yesu yu mlangon

Punguza kiwango cha upumbavu kwenye akili yako!Jifunze na jifikirishe kidogo!Tunachoshuhudia Burundi Leo ni matokeo ya ubakwaji demokrasia!Siku yakitokea Tz tutaelewa tu
 
Kama ilivyokua suala la Escrow ni sawa maana hapa hela ilikuwa inaliwa wakati wao wanatoa za kwao. Lakini hapa hili ni suala la nchi binafsi na halina uhusiano wowote na pesa zao.

Chukua muda kutafakari,siku tukiingia machafukoni kisa mambo ya ubakwaji demokrasia tutawaangukia wao kusaidia kuirejesha amani!Angalia burundi hali ilivyo
 
A blessing by disguise, tukusanye kodi zetu wenyewe ili nasi siku moja tuwe donner country.

Libya walikuwa wamefikia hapo,madhara ya kubaka Uhuru wa wananchi kujiamulia mambo yao ndio umeifikisha hapo ilipo!
 
Chukua muda kutafakari,siku tukiingia machafukoni kisa mambo ya ubakwaji demokrasia tutawaangukia wao kusaidia kuirejesha amani!Angalia burundi hali ilivyo
Hata George Bush alimshinda AlGore kimagumashi huko huko marekani....was that what we term as democracy??

Tutajitegemea...!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Hii ndiyo statement ya The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors!

For Immediate Release
December 17, 2015

Renee Kelly
202-521-3880

The Millennium Challenge Corporation (MCC) Board of Directors held its quarterly meeting on Dec. 16, 2015. The Board approved three countries as eligible for compacts and two countries as eligible for threshold programs. Three of the five countries are new partners for MCC and all have worked hard to improve their performance on MCC?s scorecard, which measures countries? commitment to ruling justly, economic freedom, and investing in their people.

The Board selected Cote d?Ivoire, Kosovo and Senegal as newly eligible for compacts. Cote d?Ivoire, which was selected in December 2014 for a threshold program, will now transition into the compact program after showing continued improvement on its scorecard and achieving greater political stability. Kosovo, which passed MCC?s scorecard for the first time after making progress on democratic rights, is a new partner for MCC. Senegal successfully completed its first MCC compact in September and demonstrated improved scorecard performance over the life of the partnership.

In both Senegal and Cote d?Ivoire, the Board recommended that MCC explore potential investments that address regional obstacles to economic growth, in addition to domestic investments, while recognizing the need for statutory authority to optimize regional impact.

The Board also selected Togo and Sri Lanka to develop MCC threshold programs. Togo has shown a clear upward trajectory on overall scorecard performance over the past few years. Sri Lanka has embarked on a remarkable effort over the past year to reinvigorate its democratic institutions, improve governance, and restore protection of human rights.

Nepal, Niger and the Philippines were reselected by the Board to continue developing their compacts. The Board reselects all countries in compact development as part of the annual selection process. The Board deferred a vote on the reselection of Tanzania and Lesotho for compact eligibility until relevant governance concerns in both countries have been addressed.

Finally, the Board reaffirmed its commitment to developing a compact with Mongolia and its support for a strategic partnership with India to advance economic growth and poverty reduction in South Asia.
 
Back
Top Bottom